Ukifkiria kuvunja kadi uhamie mtandano mwingine una tumiwa sms pata dakika 60 kwa shilingi 200 tu kwa siku nzima. Vodacom kazi ni kwako!
Unaonaje ukifungua mtandao wako!!!!!!
Unaonaje ukifungua mtandao wako!!!!!!
we ushafungua?
Ndo mwisho wako wa kuwaza??
Nashukuru Vodacom Tanzania wameona tatizo langu wameni PMniwatumie number yangu nafikiri wanashughulikia tatizo
........................ ndio nishafungua karibu
Fikiria mtu unatuma/kutumiwa sms alafu hazifiki kwa wakati. Hivi hii tabia ya huu mtandao kujiona sana kiasi cha kudharau hata malalamiko ya wateja ina sababishwa na nini hasa?
Alafu kitu kingine nmegundua Vodacom ukiwa maeneo ya mjini hasa posta network hasa upande wa internet inasumbua sana!
Hiki kiburi chenu kiwe na mwisho!