Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Watakutoaje wakati hawakujui?Mm nina lalamiko tena mna nikera sana lala miko la kwanza kunipigia cm ili nichague mziki wa anaye nipigia sitaki izo habari maana ni usumbufu kwangu
Lalamiko la pili ni kuwa laini nime weka kwenye cm ya vunja chawa ikiwa na maana kuwa haitumii bando ni sms na kupiga tu sasa mnacho nikera hapa ni kuwa naweka vocha niki chelewa kujiunga kifurushi cha kupiga mna nitumia msg za ajabu ajabu na kula hela yangu hamwoni kama ni wizi toeni iyo kitu kwangu sitaki sina hela za bure hapa mwenye nchi mna mwona mwenyewe ni tatizo kawa jiph