Babu wa Kambo
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 559
- 807
Jamani kuna hii meseji ambayo Voda mnatuma kila siku kwa wateja wenu imekuwa kero sasa. Mimi mpaka nimeamua kuiweka hiyo namba yenu blacklist lakini bado ni kero
Eti "Mmiliki wa 757******* umechaguliwa kushiriki katika droo ya TZS 5,000,000 kesho!"
Mnaboa bhana, kila siku meseji lile lile, ukiona mtu hafuatilii si unaachana nae, ya nini kusumbua wateja kila kukicha?? Ovyo kabisa
Eti "Mmiliki wa 757******* umechaguliwa kushiriki katika droo ya TZS 5,000,000 kesho!"
Mnaboa bhana, kila siku meseji lile lile, ukiona mtu hafuatilii si unaachana nae, ya nini kusumbua wateja kila kukicha?? Ovyo kabisa