Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

custumer care wa voda mnaboa. matatizo ya wateja hayatatuliwi. mnabaki kutoa ahadi za kusubiri saa 24 bila mafanikio. mmezidi wizi. mbaya zaidi TCRA wako kimyaaa
 
Vodacom mbona mnaposhindwa kutoa huduma aliyoomba mteja na akailipia hamrudishi fedha yake, mfano ni luku system nimenunua umeme sitatumiwa halafu ukipiga kila siku unaambiwa masaa 24, ni wiki sasa halafu hata watoa huduma hawaeleweki. Nini maana yake?
 
bora wewe ni wiki. mim nilinunua umeme kupitia vodacom 9.5.2015 mpaka leo hamna umeme wala nin. Kila nikipiga custumer care naambiwa nisubiri saa 24. Inakaribia miezi minne sasa. Kiukweli voda mnaboa sana na sijui kama mnafahamu mnavyowachukiza wateja. Hata hiyo huduma ya custumer care mngeiondoa maana haina msaada kwa wateja. Mmezidi wizi
 
Wanaudhi kuliko kamasi!!!!@ hivi hakuna jindi ya kuwashtaki jmn. Kweli mie najionea kero tu. Nni kosa kuingilia privacy mtu. Mimi sijui wamekula ma h arage ya wapi simu wanaitumia km yao. Kila dk tangazo mie spendi ht kidogo natamani kungata huyo mtu. Hivi wanajua wanavyokera kweli? Kwa nini wasiulize mteja kwanza? I really dont like it at all. ------!!!!!@
 
Wanaudhi kuliko kamasi!!!!@ hivi hakuna jindi ya kuwashtaki jmn. Kweli mie najionea kero tu. Nni kosa kuingilia privacy mtu. Mimi sijui wamekula ma h arage ya wapi simu wanaitumia km yao. Kila dk tangazo mie spendi ht kidogo natamani kungata huyo mtu. Hivi wanajua wanavyokera kweli? Kwa nini wasiulize mteja kwanza? I really dont like it at all. ------!!!!!@

tengeneza video ya kuwachana uweke facebook iende viral
 
Eti wamenitumia message wamenianzishia huduma ya games ambayo sio bure. kama sitaki nitume neno UNSUB kwenye namba 15362. Mimi sijawahi kuomba hiyo huduma isitoshe ku UNSUB sio bure hiyo message unalipia. Nina hakika watumiaji wengi sio makini wasipo UNSUB wanatozwa kwa huduma hujahitaji. Hebu fikiri licha ya wizi wa mchana usumbufu gani huu. Isitoshe wanageuza simu yako ubao wa matangazo ya biashara bila ruksa yako au kukupatia chochote. Ukikaa kidogo unasikia 'kabang' unadhani ujumbe wako ukiangalia unakuta tangazo la vodacom. Mamlaka inayohusika hebu tuokoeni na huu ubeberu wa makampuni ya simu.

Pamoja na hilo lingine wanalo niudhi unapopiga simu huduma kwa mteje utwekewa matangazo hukuunaambiwa endelea kusubuli hadi unakuja kuongea namuhudumu tayari ngoma ya sikio imesha uma
 
Wanaudhi kuliko kamasi!!!!@ hivi hakuna jindi ya kuwashtaki jmn. Kweli mie najionea kero tu. Nni kosa kuingilia privacy mtu. Mimi sijui wamekula ma h arage ya wapi simu wanaitumia km yao. Kila dk tangazo mie spendi ht kidogo natamani kungata huyo mtu. Hivi wanajua wanavyokera kweli? Kwa nini wasiulize mteja kwanza? I really dont like it at all. ------!!!!!@

Tuunganeni tuwashtaki tu maana wanatuibia mchana kweupeeee
 
Mitandao ya simu imezidi. Sijui hai ikoje wa upande wa Zantel!

Huwanajiu TCRA mnafanya kazi gani, au ni mpango mzima wa kukusanya fedha za MAFISADI? Wananchi mnakumbuka 2010, charges za juu kwa juu kuchangia chama?
 
Mie nina cheka ya wiki.
Na nina mb za kutosha.
Jana nilinunua 500 toka mpesa wakawa wamechelewa kunijibu nikalala.
Kuamka asubuh nikakuta sms na ya kununua salio lkn kuangalia nkakuta wameshaikata imebaki 200 tu.
Sasa cjui wameikata kwa protocol zipi
 
Ipo haja kujua haki zetu kisheria. Kweli hii ni keto kubwa kwa mtumiaji. Tuandamane nini?? Nina usongo jmn!!! Hii nchi wizi kila kona salaleeeee
 
Huduma za voda tofauti kabisa na ya zaman,saiv huduma zao mbovu,cjui kuna watu wapya wamekuja maana saiv ni wez,hakuna mtandao nilioupenda mtandao km voda tz lkn saiv nasikia kichefuchefu....
 
Habari niajee wanajamvi.

Huu ni ujumbe kwenye bango la vodacom

“USITUME UJUMBE (SMS) NA KUENDESHA“

Wanamaanisha nini!!????
 
Mie nimeacha kuweka airtime voda kwa sababu ya wizi, jaribu kuweka hatA 500 kufika jioni imeisha yenyewe pasipo kuongea Na mtu wala kutuma msg
 
Naomba mnitoe kwenye huduma ya VODA GAME kwa sababu sijaiomba na wala siihitaji. Please. namba husika ni 0755369486
 
Back
Top Bottom