Makosa
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 1,183
- 2,625
Mimi siwezi kabisa kufikiri "kidogo" naweza kufikiri "kikubwa" .We jamaa hivi kichwa chako unatumia kufugia nywele tu??
Hata kufikiri kidogo tu huwezi??
Acheni kulalamika jua linawachoma ilihali mna uwezo wa kukaa kivulini.
Serikali yenu mnayoshinda mnaitetea kila siku ndio inapandisha kodi kila kukicha lakini mmefunga midomo.
Mtoa mada ni mnazi mojawapo wa Lumumba, sasa sijui kipi ni kigeni hapo!