Tigo kuna ofa chapchap naona inaafadhariTigo mbona nako Yale yalee tuu nduguu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji16][emoji16]
Tigo kuna ofa chapchap naona inaafadhariTigo mbona nako Yale yalee tuu nduguu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji16][emoji16]
Huo ni uzushi mkuu, TTCL wana coverage nzuri tu. Tuko nje ya mji kabisa lakini tunatumia network yao bila tatizo lolote.Mkuu ttcl kama unaishi kimara,mtandao wao unaishia ubungo mataa
watishe hao hao wengine sio mimiBwana mdogo jiangalie sana narudia tena "watch yourself very very carefully"
Achana na bei kupanda,bando linanyonywa chap urudi kuunga,wanachuo tunanyanyaswa
Japokuwa hata mimi huwa najiunga japo si mwanafunzi.[/QUO jiongeze mkuu, unadhani mwanachuo yupo sawa kimapato na wewe raia wa kawaida!? Kwanini wewe au mimi tusilalamike!?
We jamaa hivi kichwa chako unatumia kufugia nywele tu??
Hata kufikiri kidogo tu huwezi??
Wote hawa wametuchoka asee...Tigo mbona nako Yale yalee tuu nduguu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji16][emoji16]
Wamebadili vifurushiKwani imekuwaje mkuu?
Povu na pumba tupuMadogo wachuo ni wapumbavu sana nyie mnajua VAT wanayokatwa hawa jamaa imekuwa mpaka kero eti wanachuo wanachuo kwani nyie ndio nani kwa Vodacom hata mkihama wote hamna athari yoyote
.
.
Ukituma au kutoa pesa M-PESA na TIGO PESA gharama ni yakutisha mbona hamjalibebea bango hili swala?
Wanachuo washaishaga kitambo
Ndugu yangu akili zako ziko makalioni mm kuwasapot CCM inakuhusu Nini cyo kila kitu siasa jinga kwelMimi siwezi kabisa kufikiri "kidogo" naweza kufikiri "kikubwa" .
Acheni kulalamika jua linawachoma ilihali mna uwezo wa kukaa kivulini.
Serikali yenu mnayoshinda mnaitetea kila siku ndio inapandisha kodi kila kukicha lakini mmefunga midomo.
Mtoa mada ni mnazi mojawapo wa Lumumba, sasa sijui kipi ni kigeni hapo!