Vodacom kama mmetuchoka wanachuo mseme

Vodacom kama mmetuchoka wanachuo mseme

yuga

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2016
Posts
376
Reaction score
265
Habari ziwafikie popote mlipo........

Sisi ni wanachuo watoto wa maskini kutoka Tanzania ambao tulitokea kuupenda mtandao wa Vodacom na kuona ni mahali sahihi kwa kutokana na matumiz yetu mbali mbali ya simu hususani kimtandao ambayo hutusaidia kutafuta material mbali mbali kwa gharama nafuu . Sasa mmetuona sisi ndio shamba la bibi kwa kutaka kujinufaisha kwa haraka au yale mamilioni mliyotoa kwenye rambi rambi mnataka mrudishe kupitia sisi ??? Iweje mtupandishie gharama za vifurushi kwa kiasi hicho ?? Kueni na huruma kwa watoto wa maskini kama sisi tunaojariwa kuja kuwa wajengaji wa taifa hili letu pendwa la Tanzania. Kiukweli hatuna hamu tena ya kuendelea kuwa wateja wenu teena kwa haya mnayoyafanya . Tunaomba popote msomapo ujumbe huu mjibu swali hili " MMETUCHOKA WANA CHUO"??? AU "MMEONA SISI NDIO SHAMBA LA BIBI???" . Msipolirekebisha hili ndani ya siku nne tunahama mtandao wenu mtumie wenyewe Uni offer maana mmeona tunafaidi sana . Kwa leo acha niishie hapo tusubir utekelezaji

Nawaslisha km kuna kada wa vodacom hum ajue
 
Yanii wamepandishaa Bei za Vifurushii balaaa
 
Habari ziwafikie popote mlipo........

Sisi ni wanachuo watoto wa maskini kutoka Tanzania ambao tulitokea kuupenda mtandao wa Vodacom na kuona ni mahali sahihi kwa kutokana na matumiz yetu mbali mbali ya simu hususani kimtandao ambayo hutusaidia kutafuta material mbali mbali kwa gharama nafuu . Sasa mmetuona sisi ndio shamba la bibi kwa kutaka kujinufaisha kwa haraka au yale mamilioni mliyotoa kwenye rambi rambi mnataka mrudishe kupitia sisi ??? Iweje mtupandishie gharama za vifurushi kwa kiasi hicho ?? Kueni na huruma kwa watoto wa maskini kama sisi tunaojariwa kuja kuwa wajengaji wa taifa hili letu pendwa la Tanzania. Kiukweli hatuna hamu tena ya kuendelea kuwa wateja wenu teena kwa haya mnayoyafanya . Tunaomba popote msomapo ujumbe huu mjibu swali hili " MMETUCHOKA WANA CHUO"??? AU "MMEONA SISI NDIO SHAMBA LA BIBI???" . Msipolirekebisha hili ndani ya siku nne tunahama mtandao wenu mtumie wenyewe Uni offer maana mmeona tunafaidi sana . Kwa leo acha niishie hapo tusubir utekelezaji

Nawaslisha km kuna kada wa vodacom hum ajue
Waondoe offa za vyuo, laini zinauzwa mitaani hata ambaye hasomi chuo anamiliki laini za chuo hiyo ni hasara kwa mapato
 
Mapovu ya aina hii tumeyacho Tumeyachoka!
 
Yaani unit walizoweka sijui ni sekunde na sio dakika
Coz niliunga jana hata sijazitumia vizur et zmeisha Mba.......fuuu!
Narudi Airtel [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Uzi wa Saba huu kuhusu hiyo Uni ya wa kusoma halafu sio ajabu sio hata wanachuo.

Mbona ambao hatuna hizo ofa hatulalamiki?
 
Mimi kilio changu asubuhi niliweka 500 /=saa2, 418/= saa 5,314/= Mara papu 50/= vodacom mungu anawaona
 
Back
Top Bottom