sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
nashindwa kuelewa wameona nini mpaka kubadilisha hii bomba 7 ambayo naamini ilikuwa na wateja wengi tu...sasa imekuwa kero,,spidi ndogo, page hazifunguki ukiuliza eti "restart modem yako!!!"" khe...! sijui kwa sasa ni mtandao gani utakuwa unaridhisha wanajamvi maana hapo kabla nilikuwa airtel nikaona mizinguo, nikaenda zantel walikuwa wazuuri lakini nao wakachakachuka baadae na highlife zao, nikaja voda bomba 7 nao walikuwa poa sana..sasa...:A S 20::A S 20:...!! kwa walioko nyanda za juu kusini jamani embu nipeni maoni yenu mnaona mtandao gani walau unanafuu kwa sasa...