Voda watoa 4G LTE

Voda watoa 4G LTE

7909675935d9d055fda8578962a16f68.jpg
. Hiyo ni tigo 4G speed test
 
Duh kweli ndio nimetoka kutest hata mimi sasa hivi Nimeona nimeenda chaka na hizi converter za Google.
Wao wansoma hii mb/s kama megabyte.
Mkuu wametoa na modem zao za 4G?
nikazinunue maana naona tigo uchwara tuu.
 
Kwa mfano hupo kijijini mitandao unasoma E unatumia cm yenyeuwezo wa 4G na unaline ya 4G Je unaweza kupata speed kubwa ya hio 4G?MSAADA tafadhari
 
Mimi huwa najali sana ping, ikiwa chini ya ms 20 consistently... Hata kama down na up speed ni 1mbps inakuwa fresh sana... Ila uzushi wa hii mitandao unakuta una down 20 mbps up labda 10 Mbps lakini pinhi 300 ms..... Aaaagh... Hamna kitu...
 
hivi kweli naweza kutumia iyo line ya 4g ktk moderm ya kawaida au kuna moderm za 4g?
 
VODA WAMEANZA KUGAWA LINE ZA 4G LTE

View attachment 344867

Wanabodi Jana nilienda kuswap line yangu ya voda, baada ya kupewa line mpya nikaitia mfukoni maana nilikuwa na majukumu mengi.

Nilipo pata mda ndiyo nikaiweka kwenye handset ila nilichogundua hii line ni tofauti na nyingine maana yenyewe ina rangi ya pink kama Halotel alafu imeandikwa 4G Lte.

Je hawa jamaa wamelaunch kimya kimya au.....!!

Maana sikupata muda kuwauliza pale service centre pia sina kifaa cha 4G
c2adf78b412a18f024e7e7d7536fd3b8.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom