hapo sijaelewa mbona 4.3Mbps ndogo sana
b= bits
B=Bytes
hapo sijaelewa mbona 4.3Mbps ndogo sana
b= bits
B=By
apo ilikuwa coverage ndo iko chini but stadart hii hap 27mbp/shapo sijaelewa mbona 4.3Mbps ndogo sana
b= bits
B=Bytes
hapo sijaelewa mbona 4.3Mbps ndogo sana
b= bits
B=Bytes
![]()
NIMEJARIBU TEST SPEED ZAIDI YA MARA 3 ILA NIMEGUNDUA AIPUNGUI CHINI YA APO.
lazima kifaa chako kiwe kinauwezo wakusopport 4g na uwe na laini ya 4g but voda wanagawa bure kwa mteja wa zamani but kwa mteja mpya 500Hapo sihaelewa unafanyafanyaje hapo?na 4g waga inasapotiwa na line au sim?
![]()
![]()
Tena hiyo upload speed ni impressive.
Duh kweli ndio nimetoka kutest hata mimi sasa hivi Nimeona nimeenda chaka na hizi converter za Google.wewe ndo unachanga mafile Mkuu
Standard way ya ku express speed ni katika Bits na b ikiwa ndogo ni bits wakati B ikiwa kubwa means ni Bytes
Na ndo OOkla speed test wanachofanya ingia kwa pc Ujionee
au angalia hizi picha mbili
![]()
![]()
Kama bado haujaelewa angalia picha yake ya pili aloweka
Sijajua ila mm nimeswap bureWauza shinga line zao
Haya sasa ndio maendeleo yani upload speed ni sawa na download speed ya halotel... Na hiyo ping aisee lazima nifunge safari nikafanye swap.mm nimepata hiyo kwa voda 4G![]()
Kuna kitu kinaitwa Staying Ahead of the Curve. 3G ni technology iliyopitwa na wakati kwa sasa na technology inakuwa kwa kasi sana, simu za 4g zinatoka nyingi kwa bei ndogo huwezi poteza hela kutengeneza kitu kilichopitwa na wakati... wakati unaweza tumia hiyo hela kuboresha hizo Base Station kusupport 4g. Content now inataka faster upload na download speeds na hichi kitu awajakurupuka walikuwa in testing tokea 2013 na market research wamefanya.
Mtapiga makelele humu ndani kuwa Halotel ndio the best (hata mimi na wapenda na kutumia) lakini mwisho wa siku vodacom ndio ana subscription kubwa kuliko mitandao yote Tanzania na pia ndio anagenerate mpunga mrefu kuliko wote. Cha kuomba sasa ni vifurushi vipungue bei.
Msiturudishe nyuma.... 3G, H, H+ mwisho. Zantel, Tigo, TTcl, Vodacom washajoin the revolution nyie ambao hamtaki maendeleo bakini hivyo hivyo.
Ila Halotel converage yao ni nzuri karibu nchi nzima.Sasa hawa wengine wanawekeza mjini tu kwa hiyo unakuta wateja wanahangaika kupata huduma zao.Mie ndhani suala sio kuwa na technlojia ya kisasa tu pia uangali na coverage.Kwa hili naona Halotel ni bora zaidi kwa sababu hata matumizi ya watu wengi hayahitaji speed kubwa sana hata 3G inatosha.
bure laini kwa mteja wa zamani ila mpya ni jero(500)Wauza shinga line zao
Shida bando
Yah hapo ndo shida ilipokuna mtu anapata 50Mbps download na 20Mbps Upload
Ila kwa bundle la kupimiwa kwa kibaba bado ni pagumu I see you cant freely download big files au stream
Ndio maana tunasali Airtel wa upgrade to 4g au Halotel maana lile bundle la 2.2gb kwa 1500 ni zuri sana.kuna mtu anapata 50Mbps download na 20Mbps Upload
Ila kwa bundle la kupimiwa kwa kibaba bado ni pagumu I see you cant freely download big files au stream