cyber ghost
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 239
- 162
mkuu hizo ni band za kwetu, simu za marekani na china nyingi hazina hio band.Ni kweli nimewasiliana na mtu wa voda kaniambia wanatumia 1800.Hii ni nzuri sana maana kila device ya 4G ina hii band.
Hongera niko halotel ikizidi sana ni 10Hiyo nimepima nikiwa na tecno boom j8
Hmfn.huawei e3372h iko supportedSamahani mkuu. unatumia modem gani kutumia hiyo laini ya 4G?
Nyie halotel bado mnalipa vijana wetu laki NNE?Wangeweka makao ya mikoa yote ...au ndio dar tu
Huku pia ni nyingi sana hasa hizi za fiber unaletewa hadi nyumbani kwako mf. Zuku unapata internet tv na simu na bei sio kaali kivileTanzania tuko mbele sana
Kenya wao ni safaricom pekee wakati sisi huku
TTCL
tiGO
vodacom
Smart
Smile
Aiseeeeee kazi kwetu
Ila slogan yao tu ndo imenitoa
Ahh hiyo fibre ya zuku kwa 200,000 unlimited 60mbps ninaitamani sema ukweli.Huku pia ni nyingi sana hasa hizi za fiber unaletewa hadi nyumbani kwako mf. Zuku unapata internet tv na simu na bei sio kaali kivile
mkuu hizo ni band za kwetu, simu za marekani na china nyingi hazina hio band.
simu nyingi za ulaya, mashariki ya kati, Africa na asia ya kina india ndio zinakuwa na band hizo
nimeiangalia hapa online ina band 1800 na 850 hivyo itakubali voda na TTCL ila haitakubali smart, smile na tigonatumia lg optimus g pro ya korea f240s itafaa kwa hzo band za voda Chief.?
huenda na 4g pia isishike sababu inawezekana imelokiwa. ila sio mbaya kujaribu.km itafaa ntashukuru sn maana nmeangaika nayo sn kwenye 3g ilikuwa haishiki kwa mtandao wowote ilkuwa inasoma G tu.!
huenda na 4g pia isishike sababu inawezekana imelokiwa. ila sio mbaya kujaribu.