naskia 1800
Mbona hata TTCL wanatumia 1800.Inawezekana mitandao tofauti kutumia band moja ya 4G kweli?
naskia 1800
3g wote wanatumia 2100 kasoro smart. inawezekana kabisa kutumia frequency mojaMbona hata TTCL wanatumia 1800.Inawezekana mitandao tofauti kutumia band moja ya 4G kweli?
Siku ukitumia 4G utajuta muda ulopoteza kwenye 3GMambo yote Halotel bwana haijalishi ni 3G au 4G Ukisha nunua kifurushi ata kama ni movie Mpaka itaisha haija stak.
Siku ukitumia 4G utajuta muda ulopoteza kwenye 3G
Kuna kitu kinaitwa Staying Ahead of the Curve. 3G ni technology iliyopitwa na wakati kwa sasa na technology inakuwa kwa kasi sana, simu za 4g zinatoka nyingi kwa bei ndogo huwezi poteza hela kutengeneza kitu kilichopitwa na wakati... wakati unaweza tumia hiyo hela kuboresha hizo Base Station kusupport 4g. Content now inataka faster upload na download speeds na hichi kitu awajakurupuka walikuwa in testing tokea 2013 na market research wamefanya.Voda kiburi balaa ,alikuwa na nafasi nauri ya kufanya vizuri kwenye cellular network lakini ndio hivyo tena halotel ndo kachukua hiyo nafasi , kuna umuhima gani wa kuwa 4g network wakati 3g yenyewe inasuasua kwa maeneo mengi
Kuna kitu kinaitwa Staying Ahead of the Curve. 3G ni technology iliyopitwa na wakati kwa sasa na technology inakuwa kwa kasi sana, simu za 4g zinatoka nyingi kwa bei ndogo huwezi poteza hela kutengeneza kitu kilichopitwa na wakati... wakati unaweza tumia hiyo hela kuboresha hizo Base Station kusupport 4g. Content now inataka faster upload na download speeds na hichi kitu awajakurupuka walikuwa in testing tokea 2013 na market research wamefanya.
Mtapiga makelele humu ndani kuwa Halotel ndio the best (hata mimi na wapenda na kutumia) lakini mwisho wa siku vodacom ndio ana subscription kubwa kuliko mitandao yote Tanzania na pia ndio anagenerate mpunga mrefu kuliko wote. Cha kuomba sasa ni vifurushi vipungue bei.
Msiturudishe nyuma.... 3G, H, H+ mwisho. Zantel, Tigo, TTcl, Vodacom washajoin the revolution nyie ambao hamtaki maendeleo bakini hivyo hivyo.
Post speed test yako ya Halotel.Hiyo 4g mbona sioni tofaut na 3g ya halotel
![]()
NIMEJARIBU TEST SPEED ZAIDI YA MARA 3 ILA NIMEGUNDUA AIPUNGUI CHINI YA APO.