Viwanja vya kistaarabu vya kula bata na wadada classic

Viwanja vya kistaarabu vya kula bata na wadada classic

Arusha weekend iliyopita nilikua The Picnic ni sehemu ya kawaida ila nilipenda ustaarabu wa pale mziki, wahudumu, vinywaji mpaka mbege ipo. Sijapata nafasi ya kuzunguka sehemu nyingine.
 
Nikiwa na stress, nita kushitua twende madam.
Maana kwa Akili zangu naweza fika Nika ondokašŸ¤£šŸ˜†.

Note: sija wahi tumia kilevi chochote au kuvuta sigara MrsPablo1
sawa sawa basi maeneo kama hayo ndo yanakufaa maana yana utulivu kiasi chake, unaweza kunywa mocktail,milkshake, cappuccino,Non-Alcoholic Spritzers, Sparkling Water with Lemon or Mint n.k
 
Sometimes unapokuwa na hela hutamani kua sehemu ambayo sawa kuna wadada ila ukiwaangalia tu anakuja mezani kwako ama sehemu ulipo anaanza kukuambia twende tukapumzike ama naomba ninunulie bia, hapo hata personal hygiene yake ni mbaya..

Napenda sehemu ambazo za kistaarabu kuna pisi kali sawa ila descent na hawana njaa njaa yan mtu unainjoi hata kampani yake ..

Hivi wakulungwa wa sehem za burudan Dar , hizi sehemu zipo ? Kama zipo tuelekzane watu tunaopenda classic tufike tupate burudani...kuna nliyoambiwa tiffany & diamond

Hizi sehemu zingine za kihuni na biashara za kihuni za kununua sex tena kwa wahuni wengine wanavuta sigara wengine wanakula ugoro wananuka mijasho wengine hatuwezi
Mtoto Mchele Mchele ww
 
Back
Top Bottom