Mangwea1900
JF-Expert Member
- May 29, 2025
- 2,484
- 3,270
Tutarudi na roho zote
Kuna kiwanja flani, ila official mtoko Cairo ..patamu sana, ila sasa uende na mtoto classic ambaye anajua kuji positionTutarudi na roho zote
Siku nikija huko nitakucheki tule bata 😆Uzuri karibu na kwangu, nikiboreka narudi kulala au naenda kidimbwi.. Dj wao mkali, huwa hata nikiacha madirisha wazi naburudika kama tu waliopo beach 😅😅
Karibu sana maisha haya haya .. nafasi ikiwepo na bata bataniSiku nikija huko nitakucheki tule bata 😆
Mkuu nimepata hili chaka, nitaanzia hapa mzeeeWapi hii mkuu? Ni Dar au mkoani?
Marashi ya kunukia hata pale cheupe njee sinza wadada wanajipenda na kwa kununua manukato kwa buku dah kwa kweli dar mishe nyingi sana,ila acheni kununua dada poa sio poaKwaio mkuu uhurumoja unaniambia hizo sehem ulizonitajia nikifika sitaombwa bia na kuambiwa matatizo ya ukoo mzima ..na zaid wanajipenda yan wananukia hata bia zao ni flying fish sio safari...kama pombe kali basi vodka
acha tu mkuu haya mamboo sio kabisaaaMarashi ya kunukia hata pale cheupe njee sinza wadada wanajipenda na kwa kununua manukato kwa buku dah kwa kweli dar mishe nyingi sana,ila acheni kununua dada poa sio poa
Kweli mkuu acha tu mkuu haya mamboo sio kabisaaa
upo sahihi. Malaya wana maliza hela, pia magonjwa nje nje.. Hata kutweza utu wa mtu.. Na mbaya sana mtu akiwa addicted kuacha nunua malaya kazi sanaKweli mkuu
Du! Bata wapi hili mkuu?
Mkuu na bongo lipo kakaDu! Bata wapi hili mkuu?