Vivuli vitatu

Vivuli vitatu

Yule Mwandishi wa Riwaya ya KIVULI KINAISHI atakuwa ana maarifa juu hii kitu! Hakuna kitu kipo pasi na sababu! Kwa idadi ya hivyo vivuli kuna la kujifunza hapo!
 
usiseme ndugu mwandishi, sema mh mtaalam wa mambo mazito
Yesu ndiye mtaalamu wa mambo mazito pekee lakini huyu bado hajafikia na hatafikia hata theluthi ya ukuu wa Mungu.

So usimsifie saaaana bali mkubali katika hali ya kawaida usijejikuta ukamkufuru Mungu wako bure, ndiyomaana hata naye katuagiza kuwa "msijisifu bure katika kila jambo" hiyo yote ni sababu kila jambo kwetu sisi Binadamu hupewa karama ya kujua uzuri na ubaya wake toka kwa Mungu pekee kupitia Roho Mtakatifu.

So kuwa makini sana Mpendwa katika kuuchunga ulimi wako kama tunavyoagizwa toka katika kitabu cha Methali.
 
Ni hivi
Kuna 3 shadows

Ukitembea muda wa usiku au jion huwa vinaonekana
Kuna kidogo kabisa; kuna cha kati na kile kikubwa ambacho cha siku zote na
Kile kidogo
Ni utu wa ndan lets say ni ww utu wako wa ndani

Naweza ita nafsi pia

hata mtu akifungwa huwa wanachukua kile cha ndan ambacho ni shadow yako ndogo; sababu kuna uhai ndan yake; kile kikubwa ni utu wetu uharibikao na kile cha kati bado cjajua vzr kina stand wap ok nimekumbuka kile cha kati ni hiv ni utu wako wa kati ambao unaweza kukusaidia kusimama or kutembea na kukupa nguvu wa ku claim utu wako wa ndan or nafs or shadow ile ndogo iliyo tekwa or zikwa. Na yenyew ina nguvu yake.
Ina stand at the middle btn ua inner soul na outer body or shadow.

Kwa hiyo kinachobebwa na hawa nguvu za giza ni utu wa ndan; small shadow; wakifanikiwa kubeba the middle shadow hapo we can call sm1 is dead either partially or totally
Yahitaji mtu asimame sasa kwa niaba ili akuite au akukomboe 1shadow and the 2nd shadow; unles otherwise Neema ya Mungu ikushukie akutoe huko.

Kwa kuanzia tuanzie hapo kwanza
ASANTE KWA MSISITIZO WA UPEO WAKO BORA MPENDWA.
 
Leo Roho Mtakatifu kaniongezea nafsi; ndio maana Yesu alitoa nafs yake ife kwaajili yetu
Hakutoa mwil tu; bal aliitoa nafs; nafs ikifa mwil nao unakufa.
Ndio maana mtu akifa anaanza kufa nafs baadaye mwil

Ni hivi; upendo unaanzia ndan ya nafsi; na Yesu ni pendo; upendo wake unatoka ndan ya Nafsi ndio maana aliweza kufa kwaajil yetu;

Lakin kama tu angesema afe tu bila upendo utokao ndan ya nafsi maut yake ingekua ni bure.
Mungu asemapo yeye ni pendo alimaanisha upendp utokao ndan ya nafsi.
Sababu ktk 1corintho 13:1-8
Anasema nikitoa mwil wangu uungue moton kama sina upendo mm ni bure au nikilisha masikin kama sina upendo ni bure kabisa
Ndio maana upendo unaweza ficha vingi ni kwasababu tu nafsi imejificha hatuwez iona

Na ndio maana mtu unaweza mpa pesa lets say wadada; ile kuhonga kama huna upendo ni bure kabisa
mfano

Upendo ukitoka ktk nafsi ni mzuri.
Yesu alipokufa hakufa mwil kwanza; nafsi ilizikwa kwanza baadaye ikafuata mwil na baadaye akafufuka.
Ina maana tunaweza kuzifufua nafsi zilizo kufa sababu tayar kuna mtu alitoa nafs yake ife kwaajili yetu

Nafs ni kitu kikubwa sana ktk ulimwengu wa roho
Hata alipofufuka tunaona kabisa mwil wake haukuoza aliondoka na mwil kupaa mbingun
Unajua kwann?

Ili shetan asiutumie kufanya fojery maaana yy ni mzee wa kucopy


Alipo fufuka sasa akaja na mwil mpya ule wa mwanzo ukaondoka ambao ni wa nyama ( nahis ulibak mbingun)

Mungu akampa mwil mpya


Yaan ule utu 2 za ndan( 2 shadows)


Ndio maana hatuwez mshika had tuwe ktk ulimwengu wa roho

Sababu huu mwil hauwez kuingia ktk mbingu tu
Sasa zinabak zile nafs( 2shadows) ambazo we cant touch

Hizo ndio tunawasiliana ktk ulimwengu wa Roho na Mungu au hata ukiota utajiona upo mahal fulan; huondok na huu mwil wa nje bal zile utu 2 ( 2shadows)

Ukiamka ndio unajikuta kumbe ndoto kumbe zile utu 2 ziliondoka kwenda mahal fulan sasa zimekurudia ktk jumba lake( outer shadow)

Ina maana zinabak 2 shadows ambazo inabeba utu wako wa ndan tayar ile inner shadow( small 1)

So haya tuliyo nayo ni majumba tu yamebeba 2shadows

Ndio maana unafuatisha tamaa za dunia hii cz nia yake ni kifo na si kuishi

Wenye nia ya kuish ni utu wa ndani

Galatia 3:4
Ambaye alijitoa nafsi yake kwaajili ya dhambi zetu; ili atuokoe na dunia hii mbovu iliyopo sasa


Dhambi inaanzia ndan ya nafsi ndio maana amesema ametoa nafsi kwaajili ya dhambi.
Nafsi ni kiini cha uhai.

Lets say yai bila egg yolk haiwez kuwa yai
Ndivyo ilivyo mwil wa nje bila inner shadow hauwez kuishi

NB.
Nimecopy hizo sms sababu ningekosa muda wa kuandika kama hivyo

Ukiona kimepungua kitu kasome tena tena utakuta mengi kuliko hayo.

Mungu awalinde
You're so deeply smart Mr, thanks for your comments.
 
Yesu ndiye mtaalamu wa mambo mazito pekee lakini huyu bado hajafikia na hatafikia hata theluthi ya ukuu wa Mungu.

So usimsifie saaaana bali mkubali katika hali ya kawaida usijejikuta ukamkufuru Mungu wako bure, ndiyomaana hata naye katuagiza kuwa "msijisifu bure katika kila jambo" hiyo yote ni sababu kila jambo kwetu sisi Binadamu hupewa karama ya kujua uzuri na ubaya wake toka kwa Mungu pekee kupitia Roho Mtakatifu.

So kuwa makini sana Mpendwa katika kuuchunga ulimi wako kama tunavyoagizwa toka katika kitabu cha Methali.
 
Yani nashindwa kuelewa sisi Watu sijui tuna matatizo gani ya akili, ni jambo la kukushukuru tu kwa kiasi lakini anataka avuke mipaka hadi amkosee heshima anayetupatia pumzi?

Maana hata Yesu alipoitwa "MWEMA" alikataa kuwa hakuna aliye MWEMA isipokuwa ni Mungu pekee, Watu hawajui kwanini Yesu alikataa kuitwa MWEMA ikiwa wakati huo alikuwa ni Binadamu kwa 100% pia ni Mungu kwa 100%.

Yote hiyo ni sababu mambo ya kujikweza/kujiona uko juu kuliko Binadamu wote huwa Mungu hapendezwi nayo kabisa sababu ndiyo chanzo cha kutuweka katika dhambi ya kiburi ambacho alikifanya Lucifer kule mbinguni, alipokuwa anataka kujipandisha hadhi ya ukuu kuliko Yehova/Yawe, na hatimaye Mungu alimshushia hicho kiburi kwa kumkabidhi tu Yesu pekee akamshughulikia vizuri sana tu shetani ambapo hadi leo hii amejikuta kanyang'anywa kabisa mamlaka ya kushindana na Mungu katika jambo lolote bali maisha yake siku zote ni kuzimu tu akisubiri adhabu yake ya kutokomezwa milele.

Na hii ilimfanya shetani alishindwa hata kutubu alipopewa muda na Mungu wa kuomba rehema zake sababu Mungu ni upendo.

So nilikuwa namsahihisha tu kijana asivuoe mipaka mkuu lakini kama nawe nilikukwaza kwa namna 1 au nyingine, tafadhali sana niwie radhi Mr ili ukweli uendelee kunenwa vyema machoni pa Watu.

Tusije tukahukumiwa kwa ile dhambi ya "ukinionea aibu mbele za Watu nami nitakuonea aibu mbele za Baba yangu" nimenukuu jinsi alivyotuagiza Yesu.

Yote katika yote, nashukuru sana Mr Mshana kwa elimu yako nzuri ya mambo ya rohoni.
 
Yani nashindwa kuelewa sisi Watu sijui tuna matatizo gani ya akili, ni jambo la kukushukuru tu kwa kiasi lakini anataka avuke mipaka hadi amkosee heshima anayetupatia pumzi?

Maana hata Yesu alipoitwa "MWEMA" alikataa kuwa hakuna aliye MWEMA isipokuwa ni Mungu pekee, Watu hawajui kwanini Yesu alikataa kuitwa MWEMA ikiwa wakati huo alikuwa ni Binadamu kwa 100% pia ni Mungu kwa 100%.

Yote hiyo ni sababu mambo ya kujikweza/kujiona uko juu kuliko Binadamu wote huwa Mungu hapendezwi nayo kabisa sababu ndiyo chanzo cha kutuweka katika dhambi ya kiburi ambacho alikifanya Lucifer kule mbinguni, alipokuwa anataka kujipandisha hadhi ya ukuu kuliko Yehova/Yawe, na hatimaye Mungu alimshushia hicho kiburi kwa kumkabidhi tu Yesu pekee akamshughulikia vizuri sana tu shetani ambapo hadi leo hii amejikuta kanyang'anywa kabisa mamlaka ya kushindana na Mungu katika jambo lolote bali maisha yake siku zote ni kuzimu tu akisubiri adhabu yake ya kutokomezwa milele.

Na hii ilimfanya shetani alishindwa hata kutubu alipopewa muda na Mungu wa kuomba rehema zake sababu Mungu ni upendo.

So nilikuwa namsahihisha tu kijana asivuoe mipaka mkuu lakini kama nawe nilikukwaza kwa namna 1 au nyingine, tafadhali sana niwie radhi Mr ili ukweli uendelee kunenwa vyema machoni pa Watu.

Tusije tukahukumiwa kwa ile dhambi ya "ukinionea aibu mbele za Watu nami nitakuonea aibu mbele za Baba yangu" nimenukuu jinsi alivyotuagiza Yesu.

Yote katika yote, nashukuru sana Mr Mshana kwa elimu yako nzuri ya mambo ya rohoni.
asante sana napokea kwa unyenyekevu mkuu
 
.
n.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom