Vivuli vitatu

Vivuli vitatu

Hili suala la vivuli vitatu nimelisikia ijumaa ya last wiki kwa mtaalam mmoja naona leo melikuta hapa mjengoni.

Pia kuda dada aliumwa sana kichwa na nduguze walipoenda kwa mtaalam akadai hakioni kivuli chake xo ni ngumu kumtibia na baada ya muda alifariki kweli.

Je, inawezekana kivuli kimoja kuibiwa?

Jf idumu milele.
 
Ni hivi
Kuna 3 shadows

Ukitembea muda wa usiku au jion huwa vinaonekana
Kuna kidogo kabisa; kuna cha kati na kile kikubwa ambacho cha siku zote na
Kile kidogo
Ni utu wa ndan lets say ni ww utu wako wa ndani

Naweza ita nafsi pia

hata mtu akifungwa huwa wanachukua kile cha ndan ambacho ni shadow yako ndogo; sababu kuna uhai ndan yake; kile kikubwa ni utu wetu uharibikao na kile cha kati bado cjajua vzr kina stand wap ok nimekumbuka kile cha kati ni hiv ni utu wako wa kati ambao unaweza kukusaidia kusimama or kutembea na kukupa nguvu wa ku claim utu wako wa ndan or nafs or shadow ile ndogo iliyo tekwa or zikwa. Na yenyew ina nguvu yake.
Ina stand at the middle btn ua inner soul na outer body or shadow.

Kwa hiyo kinachobebwa na hawa nguvu za giza ni utu wa ndan; small shadow; wakifanikiwa kubeba the middle shadow hapo we can call sm1 is dead either partially or totally
Yahitaji mtu asimame sasa kwa niaba ili akuite au akukomboe 1shadow and the 2nd shadow; unles otherwise Neema ya Mungu ikushukie akutoe huko.

Kwa kuanzia tuanzie hapo kwanza
 
Thanks for info,kuna jamaa mmoja aliwahi kuniambia kuwa ukijiangalia kwenye kioo usiku ukaona sura yako/ image inakuwa mara mbili unaweza usilione jua siku itakayofuata.hiyo ilikuwa 1988 sijui kama ni ukweli?
 
Hili suala la vivuli vitatu nimelisikia ijumaa ya last wiki kwa mtaalam mmoja naona leo melikuta hapa mjengoni.

Pia kuda dada aliumwa sana kichwa na nduguze walipoenda kwa mtaalam akadai hakioni kivuli chake xo ni ngumu kumtibia na baada ya muda alifariki kweli.

Je, inawezekana kivuli kimoja kuibiwa?

Jf idumu milele.
Hawa kuiba kimoja waliiba viwili.
 
Kuna wengine hawana vivuli, hiyo imekaaje ndugu mwandishi.
Aise wewe sasa unaniogopesha. Kweli kuna watu ambao vivuli vyao hufutwa kwa njia za giza ili asiweze kulogwa. Ila huwezi jua kama huyu hana kivuli aidha uwe mshirikina au uende kwa mganga kukitafuta. Mtu ambaye kivuli chake kimefutwa ukienda kwa mganga atakwambia huyu mtu alishafariki ingawa ww unamuona kila siku barabarani.
 
Nitakuja na maandiko.

Bt hiyo ni NAFSI pia.

Utu wa ndani
 
Aise wewe sasa unaniogopesha. Kweli kuna watu ambao vivuli vyao hufutwa kwa njia za giza ili asiweze kulogwa. Ila huwezi jua kama huyu hana kivuli aidha uwe mshirikina au uende kwa mganga kukitafuta. Mtu ambaye kivuli chake kimefutwa ukienda kwa mganga atakwambia huyu mtu alishafariki ingawa ww unamuona kila siku barabarani.
Havifutwi bali vinafichwa
 
Kisayansi kivuli ni nini?

Opaque ikikinga source ya mwanga ndo kinatokea kivuli
1468309264237.jpg
4a22817fb8044e9148c09f35a3b7a2ff.jpg
nadhani tafsiri ya opaque ni no light through kisayansi
 
Aise wewe sasa unaniogopesha. Kweli kuna watu ambao vivuli vyao hufutwa kwa njia za giza ili asiweze kulogwa. Ila huwezi jua kama huyu hana kivuli aidha uwe mshirikina au uende kwa mganga kukitafuta. Mtu ambaye kivuli chake kimefutwa ukienda kwa mganga atakwambia huyu mtu alishafariki ingawa ww unamuona kila siku barabarani.
Wewe ndio umeniogopesha jaman duuh! Mtu kafa wakati namuona!
Utani huo.

Hujawahi sikia mtu anasimama kwenye mwanga na hatokei kivuli, teh teh teh
 
Leo Roho Mtakatifu kaniongezea nafsi; ndio maana Yesu alitoa nafs yake ife kwaajili yetu
Hakutoa mwil tu; bal aliitoa nafs; nafs ikifa mwil nao unakufa.
Ndio maana mtu akifa anaanza kufa nafs baadaye mwil

Ni hivi; upendo unaanzia ndan ya nafsi; na Yesu ni pendo; upendo wake unatoka ndan ya Nafsi ndio maana aliweza kufa kwaajil yetu;

Lakin kama tu angesema afe tu bila upendo utokao ndan ya nafsi maut yake ingekua ni bure.
Mungu asemapo yeye ni pendo alimaanisha upendp utokao ndan ya nafsi.
Sababu ktk 1corintho 13:1-8
Anasema nikitoa mwil wangu uungue moton kama sina upendo mm ni bure au nikilisha masikin kama sina upendo ni bure kabisa
Ndio maana upendo unaweza ficha vingi ni kwasababu tu nafsi imejificha hatuwez iona

Na ndio maana mtu unaweza mpa pesa lets say wadada; ile kuhonga kama huna upendo ni bure kabisa
mfano

Upendo ukitoka ktk nafsi ni mzuri.
Yesu alipokufa hakufa mwil kwanza; nafsi ilizikwa kwanza baadaye ikafuata mwil na baadaye akafufuka.
Ina maana tunaweza kuzifufua nafsi zilizo kufa sababu tayar kuna mtu alitoa nafs yake ife kwaajili yetu

Nafs ni kitu kikubwa sana ktk ulimwengu wa roho
Hata alipofufuka tunaona kabisa mwil wake haukuoza aliondoka na mwil kupaa mbingun
Unajua kwann?

Ili shetan asiutumie kufanya fojery maaana yy ni mzee wa kucopy


Alipo fufuka sasa akaja na mwil mpya ule wa mwanzo ukaondoka ambao ni wa nyama ( nahis ulibak mbingun)

Mungu akampa mwil mpya


Yaan ule utu 2 za ndan( 2 shadows)


Ndio maana hatuwez mshika had tuwe ktk ulimwengu wa roho

Sababu huu mwil hauwez kuingia ktk mbingu tu
Sasa zinabak zile nafs( 2shadows) ambazo we cant touch

Hizo ndio tunawasiliana ktk ulimwengu wa Roho na Mungu au hata ukiota utajiona upo mahal fulan; huondok na huu mwil wa nje bal zile utu 2 ( 2shadows)

Ukiamka ndio unajikuta kumbe ndoto kumbe zile utu 2 ziliondoka kwenda mahal fulan sasa zimekurudia ktk jumba lake( outer shadow)

Ina maana zinabak 2 shadows ambazo inabeba utu wako wa ndan tayar ile inner shadow( small 1)

So haya tuliyo nayo ni majumba tu yamebeba 2shadows

Ndio maana unafuatisha tamaa za dunia hii cz nia yake ni kifo na si kuishi

Wenye nia ya kuish ni utu wa ndani

Galatia 3:4
Ambaye alijitoa nafsi yake kwaajili ya dhambi zetu; ili atuokoe na dunia hii mbovu iliyopo sasa


Dhambi inaanzia ndan ya nafsi ndio maana amesema ametoa nafsi kwaajili ya dhambi.
Nafsi ni kiini cha uhai.

Lets say yai bila egg yolk haiwez kuwa yai
Ndivyo ilivyo mwil wa nje bila inner shadow hauwez kuishi

NB.
Nimecopy hizo sms sababu ningekosa muda wa kuandika kama hivyo

Ukiona kimepungua kitu kasome tena tena utakuta mengi kuliko hayo.

Mungu awalinde
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom