Vivuli vitatu

Vivuli vitatu

Kaka Mshana asante kwa somo la vivuli, ni kweli kabisa tangu nikiwa kijijini miaka ya 1993 nilikuwa nikijiuliza sana maana nilikuwa naona vivuli vyangu vitatu baadae nikapata majibu...ila pia nikaja kusikia uvumi, naita uvumi kwani bado sijajiridhisha iwapo ni kweli au la...eti Mamba anaweza kuua mnyama au mwanadamu kwa kukamata kivuli chake na hivyo mtu huyo kushindwa kukimbia na kujikuta akidakwa kiurahisi, je hili swala lina ukweli wowote ule???
Hizi ni habari za udogoni hata sisi tuliambiwa hivyo ila binafsi sikuwahi kuthibitisha popote
 
Mkuu huwa nasikia kuwa km ukitolewa kinvuli mchawi hawez kukuroga. Ni kweli?
Njia zip huwa zinatumika kutoa kinvuli?
Linachimbwa kabuli, unavikwa sanda na unawekwa ktk jeneza, kisha unaombewa kama anavyoombewa maiti, then unazikwa na kufukiwa kabisa. Ukifukuliwa hapo kivuli kinakuwa kimefitwa, kwa hiyo unakuwa kama maiti fulani hivi ktk ulimwengu wa kichawi. Maiti hailogeki, kwa hiyo wachawi wakikutafuta inaonekana ulishafariki kitambo tu ma kuzikwa. Kuna mtu aliniambua alifanyiwa hii kitu. Ila tuendelee kutafuta maarifa kutoka kwa wajuzi zaidi
 
View attachment 365412Naandika nikiamini Ulishawahi kujiuliza kuhusu kivuli chako ama la kusikia walau kuhusu ushirikina unaohusisha kivuli. ...Lakini naamini kabisa hukuwahi kudhani kuwa unavyo vivuli vitatu
Vivuli hivi vitatu havionekani muda wote bali wakati wa jioni jua linapozama au usiku kwenye mbalimwezi angavu
Kivuli kidogo kabisa
Kivuli cha kati
Kivuli cha nje

Hiki kidogo kabisa ni kivuli cha ndani ni nafsi (roho + mwili )hiki ndio kinabeba utu au uhai kwa maana nyingine. Ni kupitia kivuli hiki ndio mambo yote ya kudhuru mwili hufanyika, ndio mzizi wa vivuli vyote

Kivuli cha kati ni daraja kati ya kivuli kidogo na kile kikubwa, yani ni kiunganishi kati ya roho na mwili. ndio hiki ambacho hutumika kuleta uhai tiba au marekebisho kwa kivuli kidogo kilichotekwa kufungwa au kuharibiwa kwa namna yoyote ile

Kivuli kikubwa hiki ni kivuli mwili kivuli cha kawaida kivuli kinachoonekana muda wote...hiki ni kivuli kinachobeba mwili uharibikao na kupotea ni kivuli jumba cha vivuli vingine vyote View attachment 365413Kama ulivyo huu mchoro hapa haukamiliki ukitoa kipande kimoja ndani yake. hivyo hivyo na vivuli hivyo huwezi kuvitenga kawaida bali katika ulimwengu wa roho tuu
Kama ilivyo nafsi tatu katika mwili mmoja (me myselfand I)ndio hivyo hivyo ilivyo hata kwenye vivuli vya mwili wako


NB: mada hii ni kwa msaada mkubwa wa dada divine...


mshana jr, naye bwana!!!.....sijui amesomea fani au taaluma gani....hongera mshana jr...
 
View attachment 365412Naandika nikiamini Ulishawahi kujiuliza kuhusu kivuli chako ama la kusikia walau kuhusu ushirikina unaohusisha kivuli. ...Lakini naamini kabisa hukuwahi kudhani kuwa unavyo vivuli vitatu
Vivuli hivi vitatu havionekani muda wote bali wakati wa jioni jua linapozama au usiku kwenye mbalimwezi angavu
Kivuli kidogo kabisa
Kivuli cha kati
Kivuli cha nje

Hiki kidogo kabisa ni kivuli cha ndani ni nafsi (roho + mwili )hiki ndio kinabeba utu au uhai kwa maana nyingine. Ni kupitia kivuli hiki ndio mambo yote ya kudhuru mwili hufanyika, ndio mzizi wa vivuli vyote

Kivuli cha kati ni daraja kati ya kivuli kidogo na kile kikubwa, yani ni kiunganishi kati ya roho na mwili. ndio hiki ambacho hutumika kuleta uhai tiba au marekebisho kwa kivuli kidogo kilichotekwa kufungwa au kuharibiwa kwa namna yoyote ile

Kivuli kikubwa hiki ni kivuli mwili kivuli cha kawaida kivuli kinachoonekana muda wote...hiki ni kivuli kinachobeba mwili uharibikao na kupotea ni kivuli jumba cha vivuli vingine vyote View attachment 365413Kama ulivyo huu mchoro hapa haukamiliki ukitoa kipande kimoja ndani yake. hivyo hivyo na vivuli hivyo huwezi kuvitenga kawaida bali katika ulimwengu wa roho tuu
Kama ilivyo nafsi tatu katika mwili mmoja (me myselfand I)ndio hivyo hivyo ilivyo hata kwenye vivuli vya mwili wako


NB: mada hii ni kwa msaada mkubwa wa dada divine...
Mkuu,mshana Jr.hakika mungu mwenyezi naomba akuongezee upeo zaidi ya hapo Kwani hakika kila uzi wako siishi kujifunza kitu kipya na leo umenitatulia utata nikuokuwa nao juu ya uwepo wa vivuli vitatu kwenye mwili mmoja.ni hayo tu mkuu.
 
Mkuu,mshana Jr.hakika mungu mwenyezi naomba akuongezee upeo zaidi ya hapo Kwani hakika kila uzi wako siishi kujifunza kitu kipya na leo umenitatulia utata nikuokuwa nao juu ya uwepo wa vivuli vitatu kwenye mwili mmoja.ni hayo tu mkuu.
Asante sana pongezi hizi pia zimfikie dada Divine...
 
Linachimbwa kabuli, unavikwa sanda na unawekwa ktk jeneza, kisha unaombewa kama anavyoombewa maiti, then unazikwa na kufukiwa kabisa. Ukifukuliwa hapo kivuli kinakuwa kimefitwa, kwa hiyo unakuwa kama maiti fulani hivi ktk ulimwengu wa kichawi. Maiti hailogeki, kwa hiyo wachawi wakikutafuta inaonekana ulishafariki kitambo tu ma kuzikwa. Kuna mtu aliniambua alifanyiwa hii kitu. Ila tuendelee kutafuta maarifa kutoka kwa wajuzi zaidi
Ni kweli.Unakaa kaburini siku saba.
 
Idadi ya siku sikumbuki labda kama kuna wajuzi zaidi wanaweza tusaidia
 
Waafrika na imani zetu.

Siku tukikubali mila na desturi zetu zinatufunga tusiendelee amini yatakua mapinduzi ya kihistoria miaka mingi ijayo.
 
Waafrika na imani zetu.

Siku tukikubali mila na desturi zetu zinatufunga tusiendelee amini yatakua mapinduzi ya kihistoria miaka mingi ijayo.
Kumbe hizi ni imani za kiafrika? My friend umepotoka tafuta maarifa utagundua mengi
 
Kumbe hizi ni imani za kiafrika? My friend umepotoka tafuta maarifa utagundua mengi
Maarifa nadharia yasiyo na mashiko!?...ndugu mmoja alisema "ignore the most,care the least" bahati nzuri hii imekua itikadi ya maisha kwa sasa. Shida inatokea pale tunapovuka mipaka na kuchukua hizi imani na kuzihusisha na mhutakbari wa maisha ya kila siku. Haijengi kuamini umelogwa kisa mambo hayaendi maana kuthubutu na jitihada zina nafasi kubwa katika mafanikio.
 
Maarifa nadharia yasiyo na mashiko!?...ndugu mmoja alisema "ignore the most,care the least" bahati nzuri hii imekua itikadi ya maisha kwa sasa. Shida inatokea pale tunapovuka mipaka na kuchukua hizi imani na kuzihusisha na mhutakbari wa maisha ya kila siku. Haijengi kuamini umelogwa kisa mambo hayaendi maana kuthubutu na jitihada zina nafasi kubwa katika mafanikio.
Mmh OK OK ni mjadala huru kila mtu anachangia kwa mitazamo na uelewa wake
 
View attachment 365412Naandika nikiamini Ulishawahi kujiuliza kuhusu kivuli chako ama la kusikia walau kuhusu ushirikina unaohusisha kivuli. ...Lakini naamini kabisa hukuwahi kudhani kuwa unavyo vivuli vitatu
Vivuli hivi vitatu havionekani muda wote bali wakati wa jioni jua linapozama au usiku kwenye mbalimwezi angavu
Kivuli kidogo kabisa
Kivuli cha kati
Kivuli cha nje

Hiki kidogo kabisa ni kivuli cha ndani ni nafsi (roho + mwili )hiki ndio kinabeba utu au uhai kwa maana nyingine. Ni kupitia kivuli hiki ndio mambo yote ya kudhuru mwili hufanyika, ndio mzizi wa vivuli vyote

Kivuli cha kati ni daraja kati ya kivuli kidogo na kile kikubwa, yani ni kiunganishi kati ya roho na mwili. ndio hiki ambacho hutumika kuleta uhai tiba au marekebisho kwa kivuli kidogo kilichotekwa kufungwa au kuharibiwa kwa namna yoyote ile

Kivuli kikubwa hiki ni kivuli mwili kivuli cha kawaida kivuli kinachoonekana muda wote...hiki ni kivuli kinachobeba mwili uharibikao na kupotea ni kivuli jumba cha vivuli vingine vyote View attachment 365413Kama ulivyo huu mchoro hapa haukamiliki ukitoa kipande kimoja ndani yake. hivyo hivyo na vivuli hivyo huwezi kuvitenga kawaida bali katika ulimwengu wa roho tuu
Kama ilivyo nafsi tatu katika mwili mmoja (me myselfand I)ndio hivyo hivyo ilivyo hata kwenye vivuli vya mwili wako


NB: mada hii ni kwa msaada mkubwa wa dada divine...
Aisee! Naweza kukubaliana nawe somehow, nimepata kusikia kwamba wachawi huchukua vivuli vya watu kwa njia zao za kichawi. Mtu ambae kivuli chake kimechukuliwa na wachawi baada ya muda hufariki dunia endapo kivuli hicho hakitarejeshwa na mtaalamu aliyebobea kwenye fani ya tiba za jadi. Umeniongezea ufahamu kwamba uchawi upo na unafanya kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom