THAN0S
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 756
- 727
Navyojua hata mti ukipigwa na mwanga kwenye angle flani unakuwa na vivuli vitatu...Vivuli vingapi?
Navyojua hata mti ukipigwa na mwanga kwenye angle flani unakuwa na vivuli vitatu...Vivuli vingapi?
Ikisimamishwa vinaonekana vizuri hata ukisimamisha mdoli wenye shape ya binadamu mwanga ukipiga angle flani vinaonekana vyote vitatu.. Its actually basic scienceKama iko kwenye jeneza litaonekana jeneza.. Kama iko peke yake huwezi kuona
😳😳 Unakaaje kaburini siku saba? Hewa inapatikanaje? Hii yote ni kujiweka tu mbali na wachawi au kuna mengine?Ni kweli.Unakaa kaburini siku saba.
Lazima ni harakati za kuusaka utajiri 😁Au kuna mengine..?
Hii picha inaweza ikawa na maana yoyote kaka?
Kwani mtoto ana hatia yoyote mpaka hayo mapepo yamjilieKuna mapepo huwajia watoto kwa njia ya kivuli