Vivuli vitatu

Vivuli vitatu

Aisee! Naweza kukubaliana nawe somehow, nimepata kusikia kwamba wachawi huchukua vivuli vya watu kwa njia zao za kichawi. Mtu ambae kivuli chake kimechukuliwa na wachawi baada ya muda hufariki dunia endapo kivuli hicho hakitarejeshwa na mtaalamu aliyebobea kwenye fani ya tiba za jadi. Umeniongezea ufahamu kwamba uchawi upo na unafanya kazi.
Hata kwenye ishu za misukule kinachobakishwa ni kivuli chako ndio maana yakifanyika mambo kaburi likafukuliwa kinachoonekana ni mgomba
 
shadow1-300x200.jpg
 
Linachimbwa kabuli, unavikwa sanda na unawekwa ktk jeneza, kisha unaombewa kama anavyoombewa maiti, then unazikwa na kufukiwa kabisa. Ukifukuliwa hapo kivuli kinakuwa kimefitwa, kwa hiyo unakuwa kama maiti fulani hivi ktk ulimwengu wa kichawi. Maiti hailogeki, kwa hiyo wachawi wakikutafuta inaonekana ulishafariki kitambo tu ma kuzikwa. Kuna mtu aliniambua alifanyiwa hii kitu. Ila tuendelee kutafuta maarifa kutoka kwa wajuzi zaidi
Hapo sawa ,,tukio kama hilo nilishuhudia kwa macho yangu
Miaka mingi iliopita nikiwa mdogo
Lkn skuelewa maana yake lkn nilipouliza nikaambiwa hivyo kua mtu huyu anakingwa,,nilipuuzia

Sasa mwaka 2012 nilienda kijijini kusalimia kufika nikamkuta yule mama ni mlemavu wa mguu hlf mwanae mmoja wa kiume amekua kichaa
Nikauliza kwa mzee mmoja hv wa busara ambae miaka ile ya 90+ nilimuona ktk tukio lile la yule mama
Ndo akaniambia kua yule mama alikingwa na viapo vilivyotumika ni kua yeyote atakae jaribu kumuondoa kwenye uso wa dunia basi aharibikiwe...
Sasa mwanae alienda kwa mganga kutafuta utajiri ndo akaambiwa mama yako ndo utajiri wako,,
Basi wakafanya yao na mganga
Kilichotokea yule mama aligongwa na gari akiwa nje ya nyumba hlf ukuta ukamfunika,,,
Aliumia mguu tuu na mbavu,

Baada ya hapo ndo mwanae akaanza kuropoka kila kitu alichofanya ,,
Mpk sasa jamaa kichaa
Mama yake maisha yanaenda

Haya mambo yapo
 
Hapo sawa ,,tukio kama hilo nilishuhudia kwa macho yangu
Miaka mingi iliopita nikiwa mdogo
Lkn skuelewa maana yake lkn nilipouliza nikaambiwa hivyo kua mtu huyu anakingwa,,nilipuuzia

Sasa mwaka 2012 nilienda kijijini kusalimia kufika nikamkuta yule mama ni mlemavu wa mguu hlf mwanae mmoja wa kiume amekua kichaa
Nikauliza kwa mzee mmoja hv wa busara ambae miaka ile ya 90+ nilimuona ktk tukio lile la yule mama
Ndo akaniambia kua yule mama alikingwa na viapo vilivyotumika ni kua yeyote atakae jaribu kumuondoa kwenye uso wa dunia basi aharibikiwe...
Sasa mwanae alienda kwa mganga kutafuta utajiri ndo akaambiwa mama yako ndo utajiri wako,,
Basi wakafanya yao na mganga
Kilichotokea yule mama aligongwa na gari akiwa nje ya nyumba hlf ukuta ukamfunika,,,
Aliumia mguu tuu na mbavu,

Baada ya hapo ndo mwanae akaanza kuropoka kila kitu alichofanya ,,
Mpk sasa jamaa kichaa
Mama yake maisha yanaenda

Haya mambo yapo
 
Hapo kwetu tukishapata nyayo zako tu...Hapo ndio unapakuliwa Wali Mchuzi Juu
 
Mkuu mshana jr huku ndiko unakowezea kiukweli na unatoa madini yenyewe. Kule kwenye majukwaa ya sijui uraia na siasa paache. Big up kwa elimu murua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom