Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,262
- 18,251
Natumia S9, lakini Samsung na HTC zimekua simu zangu like forever, naangalia na hawa mabwana nao wako vipi.Kutegemea na aina ya Samsung uliyokua unatumia unaweza ukaona Xiaomi ni moto ama la.
Natumia S9, lakini Samsung na HTC zimekua simu zangu like forever, naangalia na hawa mabwana nao wako vipi.Kutegemea na aina ya Samsung uliyokua unatumia unaweza ukaona Xiaomi ni moto ama la.
Yaan umenifanya nisikilize nilikua bado.... Naona mziki wake si haba uko vizuri, kwa Samsung yangu sauti haijafikia, kwa Apple sijawahi tumia simu zao.Hivi hizi xiaomi ndogo ndogo kama 9c 9A,Poco M3 nk
au tuseme tu Xiaomi kiujumla zina mziki mzuri wa kwenye earphone kama zilivo samsung,apple nk?
mkuu naomba msaada wa kitaalamu, nina kama 850,000 na ninaweza ongeza kidogo hapo kama 150,000. Nipate kasimu kazuri, kati ya OnePlus na Redmi ipi itanifaa na kwa toleo gani na specification zipi. Natanguluza shukrani zanguKama mziki ni priority marehemu LG alikuwa bora zaidi kwa zama zetu.
Cha muhimu kuangalia ni Dac na Amplifier kwenye simu, hasa kutumia port ya Type C unapata Audio kali zaidi.
Kama perfomance ni priority unataka simu ya bei kwa ajili ya vitu kama games, app nzito nzito, na mambo mengine ya power user nunua Poco F3.mkuu naomba msaada wa kitaalamu, nina kama 850,000 na ninaweza ongeza kidogo hapo kama 150,000. Nipate kasimu kazuri, kati ya OnePlus na Redmi ipi itanifaa na kwa toleo gani na specification zipi. Natanguluza shukrani zangu
Naangalia zaidi petformance mkuu. Poco F3 zinapatikana wapi hasa kwa Dar es Salaam ?Kama perfomance ni priority unataka simu ya bei kwa ajili ya vitu kama games, app nzito nzito, na mambo mengine ya power user nunua Poco F3.
Kama una matumizi ya kawaida na unataka simu all a rounder ambayo ina features nyingi Angalia flagship za mwaka juzi, OnePlus 7T, Samsung S10, LG G8x etc zinakuwa nzuri kila idara ila zinapitwa perfomance na Poco F3.
Huzipati mkuu, hizi Aliexpress, bei around laki 8 (dola 350)Naangalia zaidi petformance mkuu. Poco F3 zinapatikana wapi hasa kwa Dar es Salaam ?
shukrani sana mkuuHuzipati mkuu, hizi Aliexpress, bei around laki 8 (dola 350)
kwa ambayo naweza pata chap chap humu ndani, sitaki samsungu nilikuwa na A71 ikapotea. Nahitaji kati ya xiaomi au oneplus ambayo ni nzuri kwenye perfomance hata kesho nikitaka kwenda kununua niipate. Nina uharaka sana simu. ila isizidi 1 millionHuzipati mkuu, hizi Aliexpress, bei around laki 8 (dola 350)
Hakika Lg walikuwa vizuri sana kwenye audioKama mziki ni priority marehemu LG alikuwa bora zaidi kwa zama zetu.
Cha muhimu kuangalia ni Dac na Amplifier kwenye simu, hasa kutumia port ya Type C unapata Audio kali zaidi.
Unaweza kuagiza aliexpress ila ukatumia shipping ya dhl. siku tatu tu mzigo upo mjinikwa ambayo naweza pata chap chap humu ndani, sitaki samsungu nilikuwa na A71 ikapotea. Nahitaji kati ya xiaomi au oneplus ambayo ni nzuri kwenye perfomance hata kesho nikitaka kwenda kununua niipate. Nina uharaka sana simu. ila isizidi 1 million
Huwezi, simu zote zenye Performance ya Poco F3 zinauzwa zaidi ya milioni.kwa ambayo naweza pata chap chap humu ndani, sitaki samsungu nilikuwa na A71 ikapotea. Nahitaji kati ya xiaomi au oneplus ambayo ni nzuri kwenye perfomance hata kesho nikitaka kwenda kununua niipate. Nina uharaka sana simu. ila isizidi 1 million
Aliexpress hawa ship China Hilo ndio tatizo.Unaweza kuagiza aliexpress ila ukatumia shipping ya dhl. siku tatu tu mzigo upo mjini
A bit expensive though
bei ya dhl sio rafiki ? pia nasikia na TRA nao wanakaba.Unaweza kuagiza aliexpress ila ukatumia shipping ya dhl. siku tatu tu mzigo upo mjini
A bit expensive though
nimeona hii. Shiping nimeona wana standard ya posta. Kama elfu 17, TRA nasikia nao wanataka 18%.. shida mda tu. hao dhl sijajua wao ni bei gani.. ingawa kuna moja niliona ni kama laki sita, nikaona sio rafikiHuwezi, simu zote zenye Performance ya Poco F3 zinauzwa zaidi ya milioni.
Xiaomi utakayopata laki 8 kibongo bongo itakua mbaya. Angalau hata Kenya. Kenya unapata Redmi k40 around 980,000, ni simu moja na hio poco F3.
Mkuu hii simu ni ya bei rahisi sana, na iona hadi 310,000 Kenya hapo, si rahisi kuwa na Audio nzuri.Hakika Lg walikuwa vizuri sana kwenye audio
Xiaomi naona hawapo vizuri sana hiyo redmi 9t is even worse , sound mbaya . Redmi Note 7 kulikuwa na audio improvement ukiset user region ya India .ila hii redmi 9t hata ukiset india location hamna sound improvement.
Hii ni 256GB ndio maana bei ni ghali, ya 128 hata wakikata 18% bado ipo ndani ya budget.nimeona hii. Shiping nimeona wana standard ya posta. Kama elfu 17, TRA nasikia nao wanataka 18%.. shida mda tu. hao dhl sijajua wao ni bei gani.. ingawa kuna moja niliona ni kama laki sita, nikaona sio rafiki
View attachment 1749355
Noma kweli mkuu,kwamba sound quality ilikuwa inategemea na regionHakika Lg walikuwa vizuri sana kwenye audio
Xiaomi naona hawapo vizuri sana hiyo redmi 9t is even worse , sound mbaya . Redmi Note 7 kulikuwa na audio improvement ukiset user region ya India .ila hii redmi 9t hata ukiset india location hamna sound improvement.
Kama simu haina hiyo DAC na amplifier,kuna namna yoyote unaweza unafanya ili upate hiyo sound nzuri?Kama mziki ni priority marehemu LG alikuwa bora zaidi kwa zama zetu.
Cha muhimu kuangalia ni Dac na Amplifier kwenye simu, hasa kutumia port ya Type C unapata Audio kali zaidi.
Asante sana. swali la mwisho, hapa kwenye shiping ya hizi nimeona wanatumia standard ambayo ni siku 46. Hakuna option ya kubadilisha na kutumia kama Fedex au Dhl ? nifanye kulinganisha na bei zakeHii ni 256GB ndio maana bei ni ghali, ya 128 hata wakikata 18% bado ipo ndani ya budget.
Headphone zinakuwa na hizo tech built in, zile za bei ghali,Kama simu haina hiyo DAC na amplifier,kuna namna yoyote unaweza unafanya ili upate hiyo sound nzuri?