Vivo ni moto

Vivo ni moto

Simu yenye option ya kutumia menu za kiswahili, lakini yao imeboreshwa kidogo si kama tecno
Utovauti wa vivo na tecno ni upi mkuu
Mkuu mimi personally sijawah kuzitumia zaidi ya kuziona kwenye picha. Ila nina kaproject nao ka kuwatengenezea UI strings za Kiswahili na user guide.
Sawa kiongozi nimekupata
 
Ila Huawei p50 kauwa
20210325_162600.jpg
 
Chief, tofauti za hizo 9, 9a, 9c na 9t ni nini?
Na Kenya waweza jua sehemu wanazouza?
Waweza niwekea bei zake?

Pole kwa maswali lukuki,
emoji2310.png
Moja ya Sababu ya simu za xiaomi kuwa bei rahisi ni kwamba wanauza tu online, hawahangaiki na mambo ya supply, logistic, support etc.

Kwa kenya Angalia jumia, avechi etc utazikuta.

Kuhusu utofauti wa hizo simu 9 na 9T zipo level nyengine kabisa kuliko 9A na 9C.

Mfano processor za 9 na 9T zina core kubwa zenye nguvu hivyo kuweza kufanya task mbalimbali kwa ufanisi kuliko 9c na 9A zenye processor ndogo.

9 na 9T zina vioo vya full HD wakati 9a na 9c Wana vioo vya HD kawaida.

Same kwa mambo mengine kama camera.
 
Xiaomi redmi 9 mkuu, sema kuipata kwake ni Kenya. Ni redmi 9 na sio 9c ama 9A.

Pia sometime redmi 9T (nzuri kushinda zote hapo juu) inashuka mpaka hio bei kwenye sale, ila Kikawaida hii 9T inakuwa around 350,000
Mkuu bado hujaacha kuzipigia chapuo xiaomi tu 😂😂😂!!!
kuna jamaa yangu anayo ni ya kindezi kuliko Oppo
 
Redmi 9t ina lcd display , niliagiza ila imenibidi nimpe tu wife , nimezoea amoled display ya realme x , lcd nikaona inaniumiza tu macho yangu ya uzee., Ila pia kwa music lovers redmi9t ipo weak sana kwenye sound drivers.
Sidhani kama kuna Full HD Amoled kwa price point ya laki 3. Rahisi zaidi pengine ni redmi note 10, ambayo inakaribia laki 4.

Simu nyingi za bei rahisi lazima usacrifice mambo mengi unatafuta tu yenye unafuu.
 
Redmi 9t ina lcd display , niliagiza ila imenibidi nimpe tu wife , nimezoea amoled display ya realme x , lcd nikaona inaniumiza tu macho yangu ya uzee., Ila pia kwa music lovers redmi9t ipo weak sana kwenye sound drivers.
Redmi na LCD ni kama paka na maziwa
 
Kwa moto huu tecno anaaga mashindano afrika
Vivo
Oppo
Xiaomi
Huawei
Huawei hawezi kuja tena Afrika kwa vile hatumii Android na hana Google support. Atabaki China tu

Kwanza unalinganishaje Tecno na simu. Hivo vidude vinaitwa Tecno ndio ulinganishe na Vivo, Oppo, Xiaomi?
Unakosea sana
 
Back
Top Bottom