Vivo ni moto

Vivo ni moto

Kwa anajua kuusu simu za vivo atupe mwanga kidogo nasikia ni simu nzuri kwa sasa ukiachana na samsung na iphone.

Asante na wasilisha.

Cc chief Mkwawa
Ni kweli kabisa

Iko well optimized compared to makampuni yaliozoeleka. Kama Tecno
 
Moja ya Sababu ya simu za xiaomi kuwa bei rahisi ni kwamba wanauza tu online, hawahangaiki na mambo ya supply, logistic, support etc.

Kwa kenya Angalia jumia, avechi etc utazikuta.

Kuhusu utofauti wa hizo simu 9 na 9T zipo level nyengine kabisa kuliko 9A na 9C.

Mfano processor za 9 na 9T zina core kubwa zenye nguvu hivyo kuweza kufanya task mbalimbali kwa ufanisi kuliko 9c na 9A zenye processor ndogo.

9 na 9T zina vioo vya full HD wakati 9a na 9c Wana vioo vya HD kawaida.

Same kwa mambo mengine kama camera.
Mkuu nichekie hz bands kama zinaweza kufanya Kazi Tanzania
2G bandsGSM 850 / 900 / 1800 / 1900 - SIM 1 & SIM 2
3G bandsUMTS 900 / 2100 / 850
4G bandsLTE band 1(2100), 3(1800), 5(850), 7(2600), 8(900), 38(2600), 40(2300), 41(2500)
 
Mkuu nichekie hz bands kama zinaweza kufanya Kazi Tanzania
2G bandsGSM 850 / 900 / 1800 / 1900 - SIM 1 & SIM 2
3G bandsUMTS 900 / 2100 / 850
4G bandsLTE band 1(2100), 3(1800), 5(850), 7(2600), 8(900), 38(2600), 40(2300), 41(2500)
Band 3, 7 na 40 hapo zinafanya kazi Tanzania, band ambayo haipo ni 20 (800) hii inatumika na Tigo nje ya miji na Smile kama bado wapo.
 
Huawei hawezi kuja tena Afrika kwa vile hatumii Android na hana Google support. Atabaki China tu

Kwanza unalinganishaje Tecno na simu. Hivo vidude vinaitwa Tecno ndio ulinganishe na Vivo, Oppo, Xiaomi?
Unakosea sana
Tekno bado wanapungufu mengi
 
Stucking all the time...Imagine kufungua txt ya kawaida tu might take 40sec,poor camera quality,network yake ipo slow kusupport sim card..hayo ni machache
 
Stucking all the time...Imagine kufungua txt ya kawaida tu might take 40sec,poor camera quality,network yake ipo slow kusupport sim card..hayo ni machache
Mkuu unatumia vivo gani hiyo mbona mimi kunajamaa anatumia vivo hayo matatizo hayapo
 
Moja ya Sababu ya simu za xiaomi kuwa bei rahisi ni kwamba wanauza tu online, hawahangaiki na mambo ya supply, logistic, support etc.

Kwa kenya Angalia jumia, avechi etc utazikuta.

Kuhusu utofauti wa hizo simu 9 na 9T zipo level nyengine kabisa kuliko 9A na 9C.

Mfano processor za 9 na 9T zina core kubwa zenye nguvu hivyo kuweza kufanya task mbalimbali kwa ufanisi kuliko 9c na 9A zenye processor ndogo.

9 na 9T zina vioo vya full HD wakati 9a na 9c Wana vioo vya HD kawaida.

Same kwa mambo mengine kama camera.
Nimenunua 9a bado nawachunguza Kwanza hawa Xiaomi na sifa zake nimezipata humu humu jukwaani, wakinibamba Samsung nitawakimbia mazima
 
Hivi hizi xiaomi ndogo ndogo kama 9c 9A,Poco M3 nk
au tuseme tu Xiaomi kiujumla zina mziki mzuri wa kwenye earphone kama zilivo samsung,apple nk?
Kama mziki ni priority marehemu LG alikuwa bora zaidi kwa zama zetu.

Cha muhimu kuangalia ni Dac na Amplifier kwenye simu, hasa kutumia port ya Type C unapata Audio kali zaidi.
 
Back
Top Bottom