Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,078
- 14,769
bora umenishitua, jana nikawa nasoma nikiangalia specs za simu nikifananisha na nyingine nikaona kabisa mbona upigaji kabisa huu.Hapa pia kuna upigaji wa maana mkuu.
Vivo Y20S inauzwa zaidi ya laki 6, ni simu ambayo thamani yake haizidi laki 3
Bora mkuu ujichange mwenyewe kuliko kulipa kitu mara 2 ya thamani halisi.
Hesabu za kwenda na cash tigoshop zipo, kuna simu hizi nimezipenda
REDMI 10 4/128 = 480,000
Redmi 10C = 128GB 400,000
NOTE 11 6/128GB 550,000