Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 5,943
- 11,907
OppoUkimtoa xiaomi nan anayefuata
OppoUkimtoa xiaomi nan anayefuata
Leo nilipita mcity nikakuta kuna simu inatumia chip ya dimensity 920.Hizi simu zinafanana kuanzia Display, Perfomance, ukaaji chaji etc. Binafsi ningechukua note 10 5G sababu ya 5G.
Ila kama unaweza afford note 12 ni much better kwa ajili ya cpu yenye nguvu na Amoled display.
Dimensity 920 ni mediatek pia, inategemea unaipata bei gani. Laki 7 kushuka sio chip mbaya ila juu ya Hapo snapdragon 778G ni soc nzuri zaidi.Leo nilipita mcity nikakuta kuna simu inatumia chip ya dimensity 920.
Unaiongeleaje hiyo chip ukilinganisha na hizi snapdragon?
Hiyo simu inauzwa 1.4M.Dimensity 920 ni mediatek pia, inategemea unaipata bei gani. Laki 7 kushuka sio chip mbaya ila juu ya Hapo snapdragon 778G ni soc nzuri zaidi.
Dimensity 920 mwenzake ni Exynos 1280 ndani ya Samsung A33.
Haina issue, 1.4m ni territory za flagship ama highend, kwa mediatek ni Dimensity 8100 ama 9000Hiyo simu inauzwa 1.4M.
Ni Uwizi kama Uwizi mwingine tu mkuu... MTK kuuzwa 1.4M?Hiyo simu inauzwa 1.4M.
Jamaa angu alichukua mpya hiyo RENO5 huku Mwanza kwa 500k mwaka jana mpaka sasa anayo..Naipenda Oppo Reno5 ila bei yake ghali ni sawa na Samsung A52 wakati A52 iko vizuri zaidi. Oppo wanauza simu zao bei ghali kama ndugu zao +1.
Bongo hapa nimeona Reno5 inaanzia 850k.
Ni Infinix flani niliiona wakati naeda tigoshop.Ni Uwizi kama Uwizi mwingine tu mkuu... MTK kuuzwa 1.4M?
Zero UltraNi Infinix flani niliiona wakati naeda tigoshop.
Siijui jina wala code yake, ikitokea nimepita tena pale ntaichukua code yake.
Na screen yake ipo kama zile samsung s7 edge.
Zero Ultra
Sasa hivi wana mazombie mpaka ulaya, jana tu nabishana na mtu sehemu fulani kanunua $600 anakwambia hata iphone 14/S22 haingii ndani.




A03? Hio si simu ya bei rahisi chini ya laki 3? Mbona kama wanakupiga kwa hio laki 6?Leo niliwapigia tigo wanikopeshe simu ambayo naweza kulipa monthly kwa miezi 6, maana nilishakopaga kipindi cha nyuma kasimu ka 250,000 hivi.
Wakaniuliza unataka simu gani ndugu mteja wetu? Nikasema SUMSUNG. Wakasema wana SAMSUNG A03 ambayo bei ni 600,000. natakiwa kulipia 80,000 kwanza.
Vipi wadau bei hii si imechangamka kupita maelezo hii?
Hata mimi nikasema mbona kama bei kubwa sana! Akasema simu wanazokopesha sio zao ni za d-light.A03? Hio si simu ya bei rahisi chini ya laki 3? Mbona kama wanakupiga kwa hio laki 6?
Hapa pia kuna upigaji wa maana mkuu.Hata mimi nikasema mbona kama bei kubwa sana! Akasema simu wanazokopesha sio zao ni za d-light.
Samahani mkuu, naomba ukipata muda pitia tovuti ya laina fainance uone zile bei za simu wanazokopesha zinaakisi bei ya sokoni? Niliangalia ingawa sio mtaalam but nikaona kama hapana hivi hata kama ni kwa kukopesha.
Chief..A03? Hio si simu ya bei rahisi chini ya laki 3? Mbona kama wanakupiga kwa hio laki 6?
Kwa Samsung subiria A14 5G mkuu, itakuwa ni upgrade kubwa sana kuliko simu ambazo zipo sokoni kwa sasa.Chief..
Kwa bajeti ya laki 5 naweza kupata simu gani nzuri sokoni? Iwe Samsung au oppo.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hii inatoka lini mkuu?Kwa Samsung subiria A14 5G mkuu, itakuwa ni upgrade kubwa sana kuliko simu ambazo zipo sokoni kwa sasa.
Sifahamu mkuu, ila siku si nyingi, wana event Feb 1 watatangaza.
bora umenishitua, jana nikawa nasoma nikiangalia specs za simu nikifananisha na nyingine nikaona kabisa mbona upigaji kabisa huu.Hapa pia kuna upigaji wa maana mkuu.
Vivo Y20S inauzwa zaidi ya laki 6, ni simu ambayo thamani yake haizidi laki 3
Bora mkuu ujichange mwenyewe kuliko kulipa kitu mara 2 ya thamani halisi.
REDMI 10 4/128 = 480,000
Redmi 10C = 128GB 400,000
NOTE 11 6/128GB 550,000