Hii haina kumung'unya maneno wala kupepesya macho,kwani kila mtanzsnia anaona kinacho tendeka kwani Mh Rais anaweka misingi ya haki na utawala wa sheria.
Hivyo kama unaona anachokifanya ni fahari ya nchi hii ngonga like na njoo tujadili.
umba tupu mleta uzi, ulipokosea zaidi ni hapo kwenye misingi ya haki na utawala wa sheria. Uko serious kweli mkuu, kuna anayofanya vizuri kiasi chake ila sio kwa hayo uliyotaja wewePinga tena. Ikiwezekana nenda mahakamani kaweke pingamizi mkuu.
Maguli? Mbona mnaandika kama mmejaa mapovu? mazuri anayofanya hata mimi nayakubali ila sio kwa hayo aliyosema mtoa hoja, mnajitoa ufahamu kwelikweli.Hakuna asiyekubali kuwa Maguli ni jembe
Najua akiri yako ilipogota ila ukweli unaujua ila hautaki kukubali kuwa jamaa ni kazi tu! Siasa inamuda wake.Maguli? Mbona mnaandika kama mmejaa mapovu? mazuri anayofanya hata mimi nayakubali ila sio kwa hayo aliyosema mtoa hoja, mnajitoa ufahamu kwelikweli.
Mimi namkubali Ila atende haki asionee mtuMimi namkubali ila sioni kama kina cha kujadili hapa. Tumeambiwa tuchape kazi, nenda kachape kazi
Tupo na tunamkubali sana tuuHii haina kumung'unya maneno wala kupepesya macho,kwani kila mtanzsnia anaona kinacho tendeka kwani Mh Rais anaweka misingi ya haki na utawala wa sheria.
Hivyo kama unaona anachokifanya ni fahari ya nchi hii ngonga like na njoo tujadili.
Anakubalika kwa mataahira ya Lumumba!!Hii haina kumung'unya maneno wala kupepesya macho,kwani kila mtanzsnia anaona kinacho tendeka kwani Mh Rais anaweka misingi ya haki na utawala wa sheria.
Hivyo kama unaona anachokifanya ni fahari ya nchi hii ngonga like na njoo tujadili.
Hii haina kumung'unya maneno wala kupepesya macho,kwani kila mtanzsnia anaona kinacho tendeka kwani Mh Rais anaweka misingi ya haki na utawala wa sheria.
Hivyo kama unaona anachokifanya ni fahari ya nchi hii ngonga like na njoo tujadili.
Wamesema wanaomkubali...wewe usingekuja huku...ungepita kimya tuHakuna hoja uliyoandika, jipange Tena upya
Ndo hpo wale wa side B wanaosema TWAWEZA, wamesema wafuas wengi wa ccm ni wajinga, utawakuta wski comment, sasa hpo ujanja wao ni upi kma wameshindwa kuelewa kichwa cha habari tu...Cha kushangaza.. Apa watajaa wanafki zaidi wasiomkubali na comments zao.. We kama humkubali waja huku comment nini..wakati post yasema WAZI KABISAH WANAOMKUBALI NDO WAJE HAPA.!?
Hii haina kumung'unya maneno wala kupepesya macho,kwani kila mtanzsnia anaona kinacho tendeka kwani Mh Rais anaweka misingi ya haki na utawala wa sheria.
Hivyo kama unaona anachokifanya ni fahari ya nchi hii ngonga like na njoo tujadili.