๐—ฉ๐—ถ๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐—ฎ๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—”๐—น๐—ถ๐—ฒ๐—ป๐˜€ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐˜ƒ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐——๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜‚

๐—ฉ๐—ถ๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐—ฎ๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—”๐—น๐—ถ๐—ฒ๐—ป๐˜€ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐˜ƒ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐——๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜‚

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
1_20250802_113456_0000.png


Inawezekana umeshtuka kidogo ๐Ÿ‘‹, Naam wanasayansi wanasema viumbe aina ya Aliens vinakuja kuivamia Dunia mwezi novemba mwaka huu 2025.

Kupitia ripoti iliyotolewa na Cbs news , wanasayansi kutoka Harvard wanasema Kuna viumbe aina ya Aliens vinakuja kwenye huu ulimwengu wa Dunia mwaka huu 2025,

3_20250802_113456_0002.png


Profesa Avi loeb alisema Kuna dalili za wazi wazi kuwa tunatembelewa na wageni kutoka comet โ˜„๏ธ kupitia chombo aina ya 3I/ATLAS.

Chombo hicho kinakuja Kwa Kasi ya ajabu ya maili 130,000 kwa saa kuelekea kwenye mfumo wetu wa jua, hivyo ilipelekea kuzua mjadala mkubwa Kati ya wanaanga na wanasayansi.



Kwa mara ya kwanza kiliweza kugundulika tarehe 1 Julai 2025, ni kifaa chenye muonekano kama nyota ambapo kinatoka nje ya mfumo wetu wa jua n
2_20250802_113456_0001.png
5_20250802_113456_0004.png
a kinakuja kwetu. Ukubwa wa chombo hicho kinakadaliwa ni kikubwa kuliko Mji wa Manhattan wa marekani ambapo kinakarabia kuikaribia Dunia Yetu mwisho wa mwezi novemba 2025.

4_20250802_113456_0003.png
7_20250802_113456_0006.png


Kinachoogopesha zaidi ni ujio wa Aliens ๐Ÿ‘ฝ kuja kuishambulia Dunia, hivyo kinatia shika kinawezekana kiwaka sio kimondo bali ni chombo cha viumbe aina ya Aliens vinakuja Duniani ๐ŸŒ.
 
View attachment 3428133

Inawezekana umeshtuka kidogo ๐Ÿ‘‹, Naam wanasayansi wanasema viumbe aina ya Aliens vinakuja kuivamia Dunia mwezi novemba mwaka huu 2025.

Kupitia ripoti iliyotolewa na Cbs news , wanasayansi kutoka Harvard wanasema Kuna viumbe aina ya Aliens vinakuja kwenye huu ulimwengu wa Dunia mwaka huu 2025,

View attachment 3428135

Profesa Avi loeb alisema Kuna dalili za wazi wazi kuwa tunatembelewa na wageni kutoka comet โ˜„๏ธ kupitia chombo aina ya 3I/ATLAS.

Chombo hicho kinakuja Kwa Kasi ya ajabu ya maili 130,000 kwa saa kuelekea kwenye mfumo wetu wa jua, hivyo ilipelekea kuzua mjadala mkubwa Kati ya wanaanga na wanasayansi.



Kwa mara ya kwanza kiliweza kugundulika tarehe 1 Julai 2025, ni kifaa chenye muonekano kama nyota ambapo kinatoka nje ya mfumo wetu wa jua nView attachment 3428136View attachment 3428137a kinakuja kwetu. Ukubwa wa chombo hicho kinakadaliwa ni kikubwa kuliko Mji wa Manhattan wa marekani ambapo kinakarabia kuikaribia Dunia Yetu mwisho wa mwezi novemba 2025.

View attachment 3428138View attachment 3428139

Kinachoogopesha zaidi ni ujio wa Aliens ๐Ÿ‘ฝ kuja kuishambulia Dunia, hivyo kinatia shika kinawezekana kiwaka sio kimondo bali ni chombo cha viumbe aina ya Aliens vinakuja Duniani ๐ŸŒ.
Sipendagi conspiracy stories za vijiweni za kutunga tunga
 
wanasayansi wamejuaje?
Wamefuatilia kupitia mifumo ya satellite imeonyesha Kuna comet โ˜„๏ธ inakuja kwenye uso wa sayari Yetu kwa spidi ya maili 130,000 kwa saa ambapo Kiko kama nyota lakini wanahofia kinacyokuja sio kwa spidi ndogo hivyo Kuna wasiwasi hujio wa viumbe aina ya Aliens kuja
 
Nimeona hii habari ila nikaipuuza baada ya kuona Trump bado anapandishiana mabega na Urusi.

Unless IQ yetu iwe ndogo mno ila kama tuna IQ ya kawaida tu, ikiwa kuna hatari halisi ya ujio unaosemwa binadamu wote tutakuwa na adui mmoja hatari zaidi si rahisi kutishiana NUKE wenyewe kwa wenyewe katika mazingira kama haya.
 
Hao tuwaachie Mossad watoe location ya chombo wawape Iran watume Crystal Supersonic Drone wakutane nayo huko huko nje ya angahewa(outer space)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom