teknoloji

Escort is a Turkish computer manufacturer and Consumer electronics retail chain.

View More On Wikipedia.org
  1. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗠𝗲𝘁𝗮 𝗶𝗺𝗲𝘁𝗲𝗻𝗴𝗲𝗻𝗲𝘇𝗮 𝗺𝗶𝘄𝗮𝗻𝗶 𝘂𝗸𝗶𝘃𝗮𝗮 𝘂𝗻𝗮𝘄𝗲𝘇𝗮 𝗺𝘃𝘂𝗮 𝗺𝘁𝘂 𝗻𝗴𝘂𝗼 😉

    kampuni ya Meta inakaribiwa na mashtaka juu ya kutengeneza Miwani yenye kuondoa nguo zako zote na kubaki mtupu. Miwani ya Meta Ray ban glasses 🕶️ ambayo Ina Teknolojia ya Ai imekumbwa na kashfa kubwa imekua ikirekodi mambo mengi ya Siri kwa kuwaondoa watu nguo zao na kubaki uchi (naked)...
  2. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗩𝗜𝗩𝗢 𝗫𝟯𝟬𝟬 𝘂𝗹𝘁𝗿𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝗶𝗻𝗮𝘆𝗼𝗺𝗻𝘆𝗶𝗺𝗮 𝘂𝘀𝗶𝗻𝗴𝗶𝘇𝗶 𝗦𝗔𝗠𝗦𝗨𝗡𝗚 𝟮𝟬𝟮𝟲

    Kama Kuna simu ambayo kampuni ya Samsung bado inawanyima usingizi kwa mwaka 2026 basi Vivo X300 Ultra Toka China. Kampuni ya vivo imeachia simu Bora nzuri kwenye kila Eneo kwa mwaka 2026, ambayo ni VIVO X300 Ultra, kuanzia upande wa Kamera ni nzuri mno Yani nzuri Balaa inatoa picha Kali Sana...
  3. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽 𝘀𝘁𝗮𝘁𝘂𝘀 𝘇𝗶𝘁𝗮𝗸𝘂𝗮 𝗷𝘂𝘂 𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗲 𝘄𝗮 𝗰𝗵𝗮𝘁𝗶

    Ni rasmi sasa feature mpya ya Whatsapp kuonyesha Status upande wa juu kabisa kwenye chati imeanza kutoka. Mwanzoni tuliposti kuwapa taarifa kuwa iko kwenye Development stages, lakini Sasa imeachiwa kwa watumiaji wa simu za Android wanatumia beta version lakini kwa watu kadhaa sio wote...
  4. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Walichoshindwa Apple kutoka kwenye simu za Android

    Kama umeshawahi kutumia simu ya iphone ukifungua apps nyingi wakati unatumia simu yako, ukizitaka kuzifunga kwa pamoja haiwezekani kabisa ? Unajua kwanini 🙂. Mtumiaji wa simu ya iphone hawezi kuzifunga apps zote alizozifungia kwa wakati mmoja kutokana na Mfumo wa iOS ulioundwa kuweza kudhibiti...
  5. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗬𝗼𝘂𝗧𝘂𝗯𝗲 𝗸𝘂𝗹𝗲𝘁𝗮 𝘂𝘄𝗲𝘇𝗼 𝘄𝗮 𝘄𝗮𝘁𝘂 𝗸𝘂𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗠𝗲𝘀𝗲𝗷𝗶 𝗣𝗿𝗶𝘃𝗮𝘁𝗲

    YouTube inafanya majaribio ya feature mpya inaitwa "Direct Message" Kwa watumiaji wake kupitia channel zao ambazo wana share video Kwa wengine kuweza kuchati nao Private. Feature hiyo itawapa watu uwezo wa kuweza kuchati kupitia app ya YouTube mobile Kwa kuweza kutumiana Meseji ndani ya hiyo...
  6. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗩𝗶𝘂𝗺𝗯𝗲 𝗮𝗶𝗻𝗮 𝘆𝗮 𝗔𝗹𝗶𝗲𝗻𝘀 𝘃𝗶𝗻𝗮𝗸𝘂𝗷𝗮 𝗸𝘂𝗶𝘃𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗗𝘂𝗻𝗶𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝗵𝘂𝘂

    Inawezekana umeshtuka kidogo 👋, Naam wanasayansi wanasema viumbe aina ya Aliens vinakuja kuivamia Dunia mwezi novemba mwaka huu 2025. Kupitia ripoti iliyotolewa na Cbs news , wanasayansi kutoka Harvard wanasema Kuna viumbe aina ya Aliens vinakuja kwenye huu ulimwengu wa Dunia mwaka huu 2025...
  7. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗨𝗻𝗮𝗽𝗼𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝗷𝗶𝗵𝗮𝗱𝗵𝗮𝗿𝗶 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗺𝗯𝗼 𝘆𝗮𝗳𝘂𝗮𝘁𝗮𝘆𝗼 𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝘀𝗮𝗹𝗮𝗺𝗮 𝗺𝘁𝗮𝗻𝗱𝗮𝗼𝗻𝗶

    Intaneti ni moja wapo ya chombo muhimu sana katika ulimwengu wa Leo , imefanikiwa kuunganisha mabilioni ya watu ulimwenguni kote. Hata hivyo pamoja na manufaa yake huja na vitu ambavyo ni hatarishi upelekea usalama wako kuwa mdogo pamoja na faragha kwa ujumla. Hakikisha unazingatia mambo...
  8. G

    JamiiForums Tanzania Teknolojia ya usb 2.0 imepitwa na wakati, wafanyabiashara wetu wametugeuza kuwa dampo la kupigia pesa, jitahidi ununue bidhaa za usb 3.0 na kuendelea

    ni juzi hapa niliweka post ya kununua hard disc kuigeuza iwe external lakini speed yake ya kuhamisha mafaili ilikuwa ndogo sana, wadau wakanipa elimu ndio nikagundua tatizo lipo kwenye kasha / case ya harddisk ni usb 2.0. wafanyabiashara wameshazoea mteja akienda dukani anaulizia bidhaa flan...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Watu walifanyaje kazi kabla ya mashine kuvumbuliwa?

    Ilikuwa mwaka 1915 wakati wafanyikazi wa misitu walikata miti mikubwa kama hii. Iliwachukua mwaka mmoja kuuweka mti kama huu ardhini. Najiuliza ilichukua muda gani mti huu kuota na kuwa mkubwa hivyo🤔
Back
Top Bottom