aliens

Alien is a science-fiction horror and action media franchise centered on the film series which depicts warrant officer Ellen Ripley (Sigourney Weaver) and her battles with an extraterrestrial lifeform, commonly referred to as "the Alien" or Xenomorph.
Produced and distributed by 20th Century Studios, the series began with Alien (1979), directed by Ridley Scott, and was followed by three sequels: Aliens (1986), directed by James Cameron; Alien 3 (1992), directed by David Fincher, and Alien Resurrection (1997), directed by Jean-Pierre Jeunet. Scott also directed a prequel series, composed of Prometheus (2012) and Alien: Covenant (2017), which follows the exploits of the David 8 android and the creators of the eponymous creatures referred to as the "Engineers".
The series has led to numerous novels, comics, video games and an upcoming television series developed by Scott for FX on Hulu, with Noah Hawley. It has inspired a number of spin-offs – most notably the Alien vs. Predator series, which combines the continuities of the Alien franchise with the Predator franchise and consists of two films as well as various series of comics, books, and video games.

View More On Wikipedia.org
  1. Eronda

    JamiiForums Tanzania FALSE President Museveni Meets Aliens/Targaryen’s at State house

    Tunachokijua: Fabricated Pictures showing Mysterious tall, white-haired people dressed in striking red uniforms have been trending on social media meeting with world leaders across the globe, including private sessions with Vladimir Putin and Xi Jinping and US president Donald Trump $ President...
  2. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Director wa FBI anasema wanakaribia kudondosha mafaili kuhusu aliens na UFO. So hii inamaanisha vile vijimtu/vibwengo ni kweli vipo?🤔

  3. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Huwa najiuliza kwa nini visa vingi vya aliens tunavipata kwa nchi za wazungu sana ila huku africa recently sijawahi kuona watu wanasema wameona UFOs.

  4. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Je mamlaka kuu za dunia zinatuficha kuhusu uwepo wa aliens?

  5. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗩𝗶𝘂𝗺𝗯𝗲 𝗮𝗶𝗻𝗮 𝘆𝗮 𝗔𝗹𝗶𝗲𝗻𝘀 𝘃𝗶𝗻𝗮𝗸𝘂𝗷𝗮 𝗸𝘂𝗶𝘃𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗗𝘂𝗻𝗶𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝗵𝘂𝘂

    Inawezekana umeshtuka kidogo 👋, Naam wanasayansi wanasema viumbe aina ya Aliens vinakuja kuivamia Dunia mwezi novemba mwaka huu 2025. Kupitia ripoti iliyotolewa na Cbs news , wanasayansi kutoka Harvard wanasema Kuna viumbe aina ya Aliens vinakuja kwenye huu ulimwengu wa Dunia mwaka huu 2025...
  6. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Tanzania Hapa nachanganyikiwa. Walikuwa weusi, weupe au Aliens waliojenga hizi Pyramids?

    Tumekuwa tukisema walijenga waafrika weusi zile pyramids. Na tunasema zamani waafrika walikuwa wana akili sana (wazungu wakaiba akili bila shaka) tukabaki mabumunda tu. Au sivyo? Sawa weusi ndo walijenga na kutawala Egypt na Waafrika ndo walikuwa na ustaarabu mkubwa miaka hiyo. Swali. Baada...
  7. Yoda

    JamiiForums Tanzania Inawezekana vibwengo ni viumbe wageni kutoka sayari nyingine(aliens) wanaozuru duniani

    Kuna stori nyingi hasa za wanafunzi wa shule za sekondari kuona au kukutana na viumbe wa ajabu ajabu wasioeleweka ambao wamepewa jina maarufu la vibwengo. Stori nyingi huwa zinawahusisha hawa viumbe wanaodaiwa kuonekana na uchawi, tatizo kubwa Waafrika mambo mengi yasiyoeleweka huwa...
  8. Camilo Cienfuegos

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Brazil na Marekani zilivyoficha Siri ujio wa Aliens

    Tukio La Varginha (Roswell ya Brazil). Tarehe 13 Januari 1996 Komandi Ya Anga Ya Anga Ya Amerika Kaskazini (NORAD) ilitoa tahadhari kwa majeshi ya Brazil, kwamba kuna kitu kisichotambuliwa (UFO) kilomita 300 katika anga la mji wa Sao Paulo. Wakati jeshi la Brazil linaanza kuchukua hatua...
  9. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe, 1994: Kwa jinsi wanafunzi walivyokuwa wanasimulia sio rahisi eti walikuwa wamesitiwa kutunga story ya kuona Aliens

    Miaka 30 baadae, nashawishika kuwa wanafunzi wale 62 wa miaka kati ya 6 hadi 12 katika shule iliyopo Zimbabwe waliona vitu ambavyo havikuwa vya dunia hii. Ilikuwa ni asubuhi ya saa nne tarehe 16 mwaka 1994, wanafunzi hawa wakiwa break. Miongoni mwao walisema waliona chombo mfano wa ndege huku...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Genius ni mojawapo wa aliens wa kificho?

    Salaam, Shalom! Kwanini watu waliotokea kuwa na akili nyingi sana tangu utotoni huitwa geniouses? Je watu hao, Wana mahusiano yoyote na aliens Kutoka Ulimwengu mwingine? Na kwanini watambulike kama geniuses wakati Kwa kawaida genius ni Neno linalotokana na genie au jini/ majini? Kwanini...
  11. Fifteen

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenda movie za aliens Series ya invasion ni series Bora kabisa

    Habari jukwaani kwa wawafatiliaji wa movie za aliens sizani kama Kuna movie Bora kuizidi invasion ambayo iko season two episode ya 7 week hii ubora wake ni 1. kwanza Aliens hawajavamia america tu ni world wide. 2. Aliens hawaongei kingereza Wala hawafati linguistics yetu. 3. Mapambano...
  12. Mzawa_G

    JamiiForums Tanzania Aliens, viumbe wanaoaminika kuwazidi binadamu akili

    Vitabu vitakatifu vimeandika kuwa Mwenyezi Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana, inaaminika kuwa vitu visivyoonekana ni vingi kuliko vinavyoonekana. Viumbe hao wa ajabu waishio angani wanaitwa Aliens. Inaaminika wana muonekano kama binadamu isipokuwa hawafanani moja kwa moja na...
Back
Top Bottom