Jk alitakiwa aongezewe mda lakini ni vizuri kuheshimu katiba yetu ili tusipeleke nchi kwenye matatizo.tumuobe nae aongeze muhula mmja kama wenzake,kagame anafanya mabadiliko ya katiba na Nkurunziza yeye ndio kashalianzisha na sisi tunataka na Rais wetu aongeza walau mitano[5] inatosha
Mkuu mbona una lugha ya kujinga na kitoto?Hujui kuwa Rais anayo mamlaka ya kutafuta pesa kwenye vyanzo vyake vingine kwa mamlaka aliyonayo na kufanya jambo lolote.
kama anao mfuko wake wa matumizi kama hayo, vinginevyo lazima liwe kwenye budget ya wizara husika!President anauwezo na mamlaka kikatiba kutamka lolote na likatekelezwa...over!
Mkuu jaribu kuongea na wazazi wako wanajua umhimu wa jk bila jk wewe hata nguo za kuvaa usingepata jk ndiyo anafanya mnakula nyie uliza uambiwe.Sana sana JK anachoweza ni UMATONYA!
Jk alitakiwa aongezewe mda lakini ni vizuri kuheshimu katiba yetu ili tusipeleke nchi kwenye matatizo.
We mbugila nini kilichokukwaza tuambie weka hapa nakala za madai tujue....acha uzubeda wewe jk atabaki kiongozi bora kabisa hata tanzania na ukanda wote huu wa cekafa.Mkuu mbona una lugha ya kujinga na kitoto?
Kwa nini basi wakandarasi hawalipwi zaidi ya Tsh 850bilioni kutokana na ahadi hizo!
Managing the economy is not by mere empty words!
Wazazi wako umeshaongea nao ?,kwani akili yako inatofauti gani na huyu!MATONYA!? Haiji tokea!!!
Mkuu mbona una lugha ya kujinga na kitoto?
Kwa nini basi wakandarasi hawalipwi zaidi ya Tsh 850bilioni kutokana na ahadi hizo!
Managing the economy is not by mere empty words!
Mkuu jaribu kuongea na wazazi wako wanajua umhimu wa jk bila jk wewe hata nguo za kuvaa usingepata jk ndiyo anafanya mnakula nyie uliza uambiwe.
Jk kiboko ya vibaka ndiyo maana popote pale alipo lazima vibaka mtoke tu hamtaweza kukaa alipo.Aliposimama tuu with walianza kuondoka
President anauwezo na mamlaka kikatiba kutamka lolote na likatekelezwa...over!
Kama wewe ulivyomjinga kuliko bawacha wote hapo ufipa.Ndiomaana hadi wajinga wanadhani nao wanaweza kuwa maraisi wa nchi hii.