Naye Jk na CCM yake akawaambia MAWAZIRI wake na wanachama wa CCM
KESHENI mkiomba kwani hamjui siku wala saa atakayokuja Dr
Slaa na UKAWA yake,Nami naenda Ulaya kuwaandalia MAKAZI ya kudumu,ili nitakapokuwa nanyi
muwepo,kwani CHADEMA ikichukua nchi mwaka huu,lazima mafisadi tuhame nchi.
Nanyi muonapo wa-Tz wanaipinga sana CCM na kuisapoti CHADEMA ,huku tume mbalimbali zikiundwa, basi mtambue muda wa wa MATESO kwa MAFISADI
umekaribia.
Wala msitishwe na wingi wa watia nia wenu wa CCM,kwani hata Lowassa mwenye pesa nyingi za KIFiSADI,lakini kamwe hawezi kuwa rais wa nchi hii.
Kisha Lowassa alipoyasikia hayo na kauli za makutano,basiakakwea tena IKULU kumuomba Rais ASIMFILISI,ASIMFUNGE WALA ASIKUBALI LOWASSA AJIUZURU, Lakini kabla ya wananchi hawajamsahau Lowassa na ufisadi wa RICHMOND,EPA,na RADA na ndicho kipindi yule katibu mkuu wa CCM mwizi wa tembo akijiandaa kuanzaa ziara za kuwahadaa wananchi mikoa mbalimbali,
akatokea Kafulila,Mbowe ,Mnyika na Zitto na jeshi lao lote wakaibua ufisadi wa ESCROW,na Kafulila akasema na "Nitakaowabusu hao ndio wezi waliokula pesa za Escrow na kulifisi taifa",basi akiwa bungeni akawataja jaji Werema,Pinda na Chenge nayo kamati ya PAC kupitia Zitto Kabwe ikawataja wengine wengi hata wale waliokuwa wamefichwa na wengine walioiba na kubeba fedha kwenye magunia kule kwenye benki ya Stanbic,bt Ikulu ikawalinda.
Mara AG WEREMA akatoa UPANGA ALANI na kumtishia Kafulila,mfuasi wa UKAWA kutaka kumkata shingo,ndipo PINDA kwa fedheha kubwa akamwambia WEREMA"rudisha upanga wako
alani,KIKOMBE tulichotupiwa na Kikwete hatunabudi Kukinywa.
Moja kati wa mayahudi wale aitwaye Muhongo hakuamini kama Kafulila
anaweza kitikisa serikali,mara TIBAIJUKA akasimama na kusema yeye hakujua kama pesa aliyokula ilikuwa ni ya kifisadi ya Escrow na Rugemalila aliyempa,ati alimpa kama kaka yake kwa ajili ya shule zake za Kajumulo
Basi siku ya3 wezi wakaenda pale ofisini kwa spika na ofisi ya PAC ili waibe nyaraka,lakini wakazikosa.
yule morani waliyemkuta getini
akawaambia mnayemtafuta(document za PAC) hazipo..Kafulila na Zzk wameshapaa nazo kwenda Kigoma na wapo
kuume kwa UKAWA
Basi wanaCCM walipoyaona hayo,kwa masikitiko wakasema"HAKIKA MWAKA HUU LAZIMA CCM ING'OKE NA CHADEMA KUPITIA UKAWA WACHUKUE NCHI"