Vituko vya Rais Kikwete dhidi ya Albino

Vituko vya Rais Kikwete dhidi ya Albino

Hili linaonyesha kuwa Mh Rais amebanwa kila kona na washirikina. Haiwezekani mkuu wa nchi mwenye dola unatoa chozi,kisa wananchi wako wasio na hatia wanauawa kwa imani za kishirikina. Hapa jirani Kenya,lilivyotokea shambulizi la magaidi/mafirauni wa alshabaab,Kenyata alitoa amri kuwatafuta haraka. Hii nchi CCM imewashinda,kama Rais naye analia,sisi raia tufanye nini?
 
Rais jk ametokwa na machoz wakati akisikiliza wimbo wa masikitiko ya watoto wenye ulemavu wa ngozi(albino) na kueleza kuwa ni upambavu kuamini kuwa viungo vyao vinateta utajiri. Chanzo gazeti la mwananchi. Swali la kujiuliza hapa! Nikua mh! Rais tatizo hili ukuliona awal mpaka wazir mkuu alilia bungen? Na kwa nini mkiwa kama viongoz mnashindwa kuchukua uamuz mgumu? Hapa ndipo mzee wa maamuz magumu anapochukua point! Ikiwa mkuu wa nchi unalia na wazir mkuu analia hv hawa wauwaj wanajesh? Kama mkulu na team yako mnashindwa kuwalinda hawa ndugu zetu wachache hao milion 45 mtaweza?

Mkuu unaambiwa bwana Kikwete ni kanali wa jeshi. Sasa inakuwaje anashindwa kuchukua maamzi magumu? Je kama kamanda mkuu wa nchi yetu atafanya nini kama moja ya mipaka yetu ikivamiwa?
Hapa ndipo naona kuna udhaifu pamoja na usanifu.
 
Wakati bajeti ya wizara ya afya imekwisha somwa na kupitishwa bungeni kwa mwaka 2015/16, eti JK atahakikisha vifaa na madawa kwa ajili ya watu wenye albinism yanatengewa fedha na kununuliwa na kwamba vyote vitakuwa bure!

Hiki ni kituko kwani waziri wake wa afya hakuzungumzia cho chote kuhusu suala hilo wakati wa bajeti ya afya! Na kama JK atalazimisha kutekelezwa kwa ahadi basi ama bajeti ya wizara itavurugika au itakuwa ahadi mpya ambayo haitatekelezeka hadi anamaliza muda wake October mwaka huu!!
JK hakomi kuahidi ahadi hewa au haoni aibu kwa kutotekelezeka kwa ahadi lukuki alizowaahidi wananchi nchini kote mwaka 2010?!
Hivi Rais wa nchi hajui kuwa Tatizo kuu la watu wenye albinism sio madawa bure bali usalama na ustawi wao?hajui kuwa serikali yoyote makini duniani jukumu lake na wajibu namba moja ni kulinda raia wake?Hivi hii serikali nani ameiloga?


#Jiandikishe tuwatoe hawa maccm 2015#
 
Mkuu unaambiwa bwana Kikwete ni kanali wa jeshi. Sasa inakuwaje anashindwa kuchukua maamzi magumu? Je kama kamanda mkuu wa nchi yetu atafanya nini kama moja ya mipaka yetu ikivamiwa?
Hapa ndipo naona kuna udhaifu pamoja na usanifu.

Jamani hii! Inasikitisha sana mkuu wa nchi! Analia badala ya kupeleka watu wawa sake wauaji na kisha kuwanyonga hadharan anabak analia mbona wapinzan wanawapiga mabomu? Tena wanawaua na wengine wanaowapinga! Hii mbona itakua ngumu sana kumeza? Kama rais amili jesh mkuu! Mwenye vyombo vyote vya usalama anakosa maamuz
 
Jamani hii! Inasikitisha sana mkuu wa nchi! Analia badala ya kupeleka watu wawa sake wauaji na kisha kuwanyonga hadharan anabak analia mbona wapinzan wanawapiga mabomu? Tena wanawaua na wengine wanaowapinga! Hii mbona itakua ngumu sana kumeza? Kama rais amili jesh mkuu! Mwenye vyombo vyote vya usalama anakosa maamuz

slaa akili alipo anguka chooni kule mwanza
 
Rais jk ametokwa na machoz wakati akisikiliza wimbo wa masikitiko ya watoto wenye ulemavu wa ngozi(albino) na kueleza kuwa ni upambavu kuamini kuwa viungo vyao vinateta utajiri. Chanzo gazeti la mwananchi. Swali la kujiuliza hapa! Nikua mh! Rais tatizo hili ukuliona awal mpaka wazir mkuu alilia bungen? Na kwa nini mkiwa kama viongoz mnashindwa kuchukua uamuz mgumu? Hapa ndipo mzee wa maamuz magumu anapochukua point! Ikiwa mkuu wa nchi unalia na wazir mkuu analia hv hawa wauwaj wanajesh? Kama mkulu na team yako mnashindwa kuwalinda hawa ndugu zetu wachache hao milion 45 mtaweza?

Ulinzi kwa watu wenye Albinisim unaanza na wewe
 
Back
Top Bottom