Wildlifer
JF-Expert Member
- May 12, 2021
- 1,883
- 5,191
Kweli mwanadamu haishiwi ujuha.
BBC imeripoti kuwa kuna watu wananua kinyesi cha watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) mkoani Shinyanga.
Akihojiwa Mwenyekiti wa Watu wenye Albinism Mkoani humo, amedai kuwa mteja aliyemfuata, alimpa ofa shilingi Milioni 7 kwa kikopo kimoja.
Haijulikani kinaenda fanyiwa kazi gani.
BBC imeripoti kuwa kuna watu wananua kinyesi cha watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) mkoani Shinyanga.
Akihojiwa Mwenyekiti wa Watu wenye Albinism Mkoani humo, amedai kuwa mteja aliyemfuata, alimpa ofa shilingi Milioni 7 kwa kikopo kimoja.
Haijulikani kinaenda fanyiwa kazi gani.