Vituko vya mochwari

Itakuwa baadhi tu...

Mbona kawaida na hakuna lolote la ajabu..

Hekaya nni nyingi kuliko uhalisia..
 
Tatizo tumekuamini sana sasa unaanza kutuchanganyia na kamba humohumo, haya we mochwari umeenda lini?
 
Mshana ananitisha bn ye, kila sehem za kutisha anazijua zenye furaha, upendo na amini walaaa,
Screenshot_20211218-043452.jpg
 
Duniani kuna vituko. Huko Kansas Marekani, mhudumu mmoja wa kike (pichani) mwenye miaka 26 amefikishwa mahakamani kwa kosa la kufanya ngono na maiti alizotakiwa kuzifanyia uchunguzi, na kusababisha kupata mimba toka mojawapo ya maiti aliyotakiwa kuifanyia uchunguzi.

Hata hivyo, imewekwa wazi kwamba Marekani haina sheria inayokataza kufanya ngono na maiti, hivyo mwanamke huyo atashitakiwa kwa shambulizi la maiti. Wataam wa mambo ya akili wamedai kwamba mwanamke huyo anasumbuliwa na tatizo la kisaikolojia la mambo ya ngono.
 
mshana uwe unaona ni mda gani wa kuleta uzi kama huu usiku ule uzi wako wa kufukua maiti gafula nilifungua zile picha zinatisha. Nilipolala tu nikaziota nilikosa usingizi.
Niliogopa sana wengine tunalala wenyewe sio vizuri.

Yaan siku ya jana kila uzi ni maiti kuna ile ya kuchoma maiti loh usiku sikulala
Link ya huo uzi pliiz?
 
Kwani maiti anasimamisha na kumwaga?? Kama ndio hivyo MBONA kama Bado Kuna ka uhai flani?
 
mshana uwe unaona ni mda gani wa kuleta uzi kama huu usiku ule uzi wako wa kufukua maiti gafula nilifungua zile picha zinatisha. Nilipolala tu nikaziota nilikosa usingizi.
Niliogopa sana wengine tunalala wenyewe sio vizuri.

Yaan siku ya jana kila uzi ni maiti kuna ile ya kuchoma maiti loh usiku sikulala
@Mshana Jr nisaidie link ya huo uzi wa kufukua maiti
 
Back
Top Bottom