kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,869
- 3,492
Mbona mshangao mkubwa kalisheshe
Aliwahi kufanya kazi huko na ndipo experience ilipotokea Decor ByscoTatizo tumekuamini sana sasa unaanza kutuchanganyia na kamba humohumo, haya we mochwari umeenda lini?
Mshana ananitisha bn ye, kila sehem za kutisha anazijua zenye furaha, upendo na amini walaaa,Aliwahi kufanya kazi huko na ndipo experience ilipotokea Decor Bysco
Link ya huo uzi pliiz?mshana uwe unaona ni mda gani wa kuleta uzi kama huu usiku ule uzi wako wa kufukua maiti gafula nilifungua zile picha zinatisha. Nilipolala tu nikaziota nilikosa usingizi.
Niliogopa sana wengine tunalala wenyewe sio vizuri.
Yaan siku ya jana kila uzi ni maiti kuna ile ya kuchoma maiti loh usiku sikulala
SikumbukiLink ya huo uzi pliiz?
Ndo anafanya kitu gani?Na kuna wakati inabidi ufanye hiviView attachment 488822
@Mshana Jr nisaidie link ya huo uzi wa kufukua maitimshana uwe unaona ni mda gani wa kuleta uzi kama huu usiku ule uzi wako wa kufukua maiti gafula nilifungua zile picha zinatisha. Nilipolala tu nikaziota nilikosa usingizi.
Niliogopa sana wengine tunalala wenyewe sio vizuri.
Yaan siku ya jana kila uzi ni maiti kuna ile ya kuchoma maiti loh usiku sikulala
Kivipi?Kunyonga ni thawabu wengi tu hawajui unampunguzia marehemu mtarajiwa maumivu mengi