Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Mchana haitishi ila usiku inatisha hasa zile picha za maiti.. hata angekuwa Kiduku Lilo angeogopa kwa eneo naloiishi ni nje ya mji huku bado wanazikia nyumbani ,sasa kwa ile jana angeogopa tu.Si umeona haitishi
Kwa Mchana haitishi ila usiku inatisha hasa zile picha za maiti.. hata angekuwa Kiduku Lilo angeogopa kwa eneo naloiishi ni nje ya mji huku bado wanazikia nyumbani ,sasa kwa ile jana angeogopa tu.
Mshana umeanza
Kwa Mchana haitishi ila usiku inatisha hasa zile picha za maiti.. hata angekuwa Kiduku Lilo angeogopa kwa eneo naloiishi ni nje ya mji huku bado wanazikia nyumbani ,sasa kwa ile jana angeogopa tu.
Huyu nae ni baharia
Hatutakufa siku moja kila mtu atakufa kivyakeYaani we Mshana unapigaje maiti picha na kupost hapa!!! Imagine ungekuwa wewe umekufa halafu mtu anakupiga picha ya kukukejeli!!! Uzuri wake wote tutakufa siku moja!!!
Huu ndio ubaharia wenyewe sasaNapata tabu kuwaelewa wale wanaosoma stori tu na kutishika au wanaoshindwa hata kuangalia movie za kutisha, hadi wengine wanaogopa kupita maeneo ya makaburini usiku binafsi woga huo sina hadi usiku mi popote natimba ila hofu yangu nisikutane na mtu mwenye silaha kama vile bastola, bunduki au visu.
HishHuu ndio ubaharia wenyewe sasa