Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,119
- 829,006
- Thread starter
- #141
kabla sijaanza kunywa pombe nilikua naogopa sana maiti hata mgonjwa tu..ila sikuizi nikienda mochwari nakua kimbele mbele hadi natamani kuchungulia maiti zingine nione kuna siku ntaenda kuomba nishinde kule tu niwe naona vioja vyao
