Vituko vya mochwari

Jamani jamani jamani pale mahali paoneni hivi hivi, pana vibweka pale mwanzo mwisho, na Kama kuna viumbe wana visa vibaya marehemu wanaongoza
Kama mtu alikuwa malaya kwenye uhai wake hata akifa maiti yake huwa na pozi zile zile.

Mtu katili hufa na ukatili wake na hata pale mochwari maiti yake huwa na dalili zote.... Wabishi matapeli wachawi nk hubaki na hizi tabia hata pale ndani
Huwezi amini maiti uliyokuwa umeiweka vizuri tu ukaikuta imechanua miguu.

,ama maiti nyingine kuikuta tu imegeuka yenyewe ...! Unakaa na kujiuliza na mshangao mkubwa hii imegeuka saa ngapi? Ama imegeuzwa ? na nani?

Mbaya zaidi ni zile zenye tabia ya kukonyeza.... Yani live kabisa ukiangalia unaona marehemu anakukonyeza.... Walevi mateja mabosi nk wote wapo kwenye kile chumba.

Na kuna wakati mochwari attendant hujua kabisa kwamba Leo mochwari patafurika ama mzigo utakuwa mdogo.... Ni uzoefu tu wa kazi.

Nikimkumbuka yale niliyokutana nayo wakati ule naona kabisa kuna mengi bado hatuyajui.
d8a579ed333254ea09d729cf18d44a46.jpg
Sikubaliani na Mshana, hakuna maiti inayofufuka, yani dactari amempima moyo umesimama, damu imeganda, ubongo umestop na viungo vyote havina mawasiliano, afufuke kweli? Hiyo nguvu ya kukukonyeza kunatoka wapi?
 
Mshana Jr zile chemical za kule mortuary hazina side effect kwa watu ambao wanafanya kazi mule kwa muda mrefu? Mana ukiwa around yale maeneo ile harufu sio poa
 
Mshana Jr zile chemical za kule mortuary hazina side effect kwa watu ambao wanafanya kazi mule kwa muda mrefu? Mana ukiwa around yale maeneo ile harufu sio poa
Tunavaa mask kwakuwa huwezi kuvumilia ile harufu shift nzima
 
Sikubaliani na Mshana, hakuna maiti inayofufuka, yani dactari amempima moyo umesimama, damu imeganda, ubongo umestop na viungo vyote havina mawasiliano, afufuke kweli? Hiyo nguvu ya kukukonyeza kunatoka wapi?
Uko sahihi lakini haiondoi ukweli wa hicho nilichoandika
 
Jamani jamani jamani pale mahali paoneni hivi hivi, pana vibweka pale mwanzo mwisho, na Kama kuna viumbe wana visa vibaya marehemu wanaongoza
Kama mtu alikuwa malaya kwenye uhai wake hata akifa maiti yake huwa na pozi zile zile.

Mtu katili hufa na ukatili wake na hata pale mochwari maiti yake huwa na dalili zote.... Wabishi matapeli wachawi nk hubaki na hizi tabia hata pale ndani
Huwezi amini maiti uliyokuwa umeiweka vizuri tu ukaikuta imechanua miguu.

,ama maiti nyingine kuikuta tu imegeuka yenyewe ...! Unakaa na kujiuliza na mshangao mkubwa hii imegeuka saa ngapi? Ama imegeuzwa ? na nani?

Mbaya zaidi ni zile zenye tabia ya kukonyeza.... Yani live kabisa ukiangalia unaona marehemu anakukonyeza.... Walevi mateja mabosi nk wote wapo kwenye kile chumba.

Na kuna wakati mochwari attendant hujua kabisa kwamba Leo mochwari patafurika ama mzigo utakuwa mdogo.... Ni uzoefu tu wa kazi.

Nikimkumbuka yale niliyokutana nayo wakati ule naona kabisa kuna mengi bado hatuyajui.
d8a579ed333254ea09d729cf18d44a46.jpg
Tunatahadhalishwa chumba chenye maiti usichukue kioo ukajiangalia,wanasema utakacho kiona usije kulaumu,

Hebu nisaidie kinachoonekana Ni Nini?
 
Tunatahadhalishwa chumba chenye maiti usichukue kioo ukajiangalia,wanasema utakacho kiona usije kulaumu,

Hebu nisaidie kinachoonekana Ni Nini?
Ni kweli kabisa kuna taswira hujitokeza ghafla na kupotea nyuma ama mbele yako! Sasa kwa mbele imeshakuwa kama ni kitu cha kawaida maana huwatokea wengi hata majumbani na mitaani.. Shida ya taswira za nyuma hasa mochwari ni za wafu halafu zinatisha sana na hujitokeza na nguvu fulani hivi
 
Back
Top Bottom