Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nyinyi watu mna matatizo. Kuna siku mtakuja kupata medical
Papuchi itabaki kuwa papuchi tu haina mpinzani hapa duniani....

Wakati alipomuoa cousin wake alikuwa na mchepuko pia. Barua zake za mapenzi kwa huo mchepuko nadhani ndiyo zimekuwa declassified sasa hivi...

Isaac Newton ndiyo wanasema hakuwahi kudeti na mwanamke mpaka wanamsingizia kwamba pengine alikuwa si ridhiki....
Eti mwanangu wanamsingizia newton wa watu eti alikuwa mboga wakati yy alikuwa anafikiria tu kutafiti physics na kusoma biblia basi

Yaani huyu Mungu kweli kaumba baadhi ya watu ili tu watekeleze adhma flani duniani

Mchizi alishawahi kupiga hadi siku 5 bila kulala,, kisa ma research yake,,, kula anasahau yaani


He was built different aseee ile plague yao inayofananishwa na kizazi chetu (corona)
Ndo alitumia kuandika ma principia na kututesa nayo japo yameijenga dunia sana
 
😂 😂
{9E3906E5-2758-4E54-919F-5D288E27BE26}.png.jpg
 
Eti mwanangu wanamsingizia newton wa watu eti alikuwa mboga wakati yy alikuwa anafikiria tu kutafiti physics na kusoma biblia basi

Yaani huyu Mungu kweli kaumba baadhi ya watu ili tu watekeleze adhma flani duniani

Mchizi alishawahi kupiga hadi siku 5 bila kulala,, kisa ma research yake,,, kula anasahau yaani


He was built different aseee ile plague yao inayofananishwa na kizazi chetu (corona)
Ndo alitumia kuandika ma principia na kututesa nayo japo yameijenga dunia sana

Mbali na kuweka misingi ya Optics, Gravity na mambo mengine, muda huo pia ndiyo aliutumia kugundua Calculus....japo kuna mzozo mpaka leo kuhusu mgunduzi hasa wa Calculus kati yake na mwamba mwingine wa kuitwa Leibniz....

Hawa ni watu wa kipekee ambao Mungu huwaleta ili kufungua njia mpaka watu wa conspiracies wanadai kwamba pengine hawakuwa binadamu wa kawaida bali aliens waliotumwa kuja kumsaidia binadamu kupiga hatua katika sayansi na teknolojia...Na wengine wanadai kwamba kila binadamu ana uwezo huo kama tu akiweza kujifunza jinsi ya kutumia inner power na ubongo wake sawasawa....

Imagine kama huyu mwamba kutoka India aitwaye Srinivasa Ramanujan. Huyu alijifundisha hesabu mwenyewe na hakusoma lakini aliishangaza dunia kwa ujuzi wake wa hesabu mpaka kufikia kuwekwa level moja na miamba katika taaluma hiyo. Mpaka leo kuna mzozo kama hili linawezekana kwa binadamu wa kawaida. Japo alikufa akiwa na miaka 32 tu (kuna tetesi kuwa aliuliwa maana uwezo wake wa hesabu ulikuwa unatisha) lakini ameacha alama ya kudumu katika Hisabati....
 
Back
Top Bottom