Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Wanaija wako hivyo. Siyo katika muziki tu bali ni katika kila kitu. Wako very aggressive.Hapa sipingi mkuuu ila ni very exceptional hawa watu yaani wao wanachoangalia ni fursa tu sijui kwa vile ncgi inawasomi wengi jobless hivyo watu wanajiongeza sana asee
Actually ni kama vijana wa nchi zingine zote isipokuwa sisi. Hata Wakenya na Waganda tu hapa huwezi kuwalinganisha na sisi.
Sijui ni Ujamaa wa Nyerere ulitufanya tusiwe aggressive? Sijui ni shida ya Kiingereza inayosababishwa na sera yetu mbovu ya lugha. Kuna tatizo mahali!