Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20230508-205735.jpg
 
Mbali na kuweka misingi ya Optics, Gravity na mambo mengine, muda huo pia ndiyo aliutumia kugundua Calculus....japo kuna mzozo mpaka leo kuhusu mgunduzi hasa wa Calculus kati yake na mwamba mwingine wa kuitwa Leibniz....

Hawa ni watu wa kipekee ambao Mungu huwaleta ili kufungua njia mpaka watu wa conspiracies wanadai kwamba pengine hawakuwa binadamu wa kawaida bali aliens waliotumwa kuja kumsaidia binadamu kupiga hatua katika sayansi na teknolojia...Na wengine wanadai kwamba kila binadamu ana uwezo huo kama tu akiweza kujifunza jinsi ya kutumia inner power na ubongo wake sawasawa....

Imagine kama huyu mwamba kutoka India aitwaye Srinivasa Ramanujan. Huyu alijifundisha hesabu mwenyewe na hakusoma lakini aliishangaza dunia kwa ujuzi wake wa hesabu mpaka kufikia kuwekwa level moja na miamba katika taaluma hiyo. Mpaka leo kuna mzozo kama hili linawezekana kwa binadamu wa kawaida. Japo alikufa akiwa na miaka 32 tu (kuna tetesi kuwa aliuliwa maana uwezo wake wa hesabu ulikuwa unatisha) lakini ameacha alama ya kudumu katika Hisabati....
Huyo mwamba wa hesabu namsoma sana Nakumbuka nilvyokuwa A level kuna kitabu fulani hivi cha pure mathematics(s. Chand) kwa mbele kimeekwa picha yake alafu kinaelezea alivyoenda england na kuchukua tax lakini plate number ya taxi ilikuwa 1729 zile letters nimesahau

Akasema hiyo namba nisawa na cube ya (10 + 9) ambayo ni sawa na 1000 + 729

Duuh yule professor alihamaki asee from no where tayari jamaa ashagawanya namba hiyo chapu ndo kwanzia hapo akamkubali mwamba ni genius of math
 
Ni wachapakazi sana

Wanajiamini

Wana exposure na Kimalkia kinapanda

Wanasaidiana na kushirikiana

Nyimbo zao ziko unique...mdundo fulani hivi unaowatambulisha....
Hapa sipingi mkuuu ila ni very exceptional hawa watu yaani wao wanachoangalia ni fursa tu sijui kwa vile ncgi inawasomi wengi jobless hivyo watu wanajiongeza sana asee
 
Back
Top Bottom