Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Ni verifaidi yuza?Na kitiki chake cha Blue, hawezi hata jibishana
Ina maana JF wana mafaili yake kamili kama watu wa NIDA? 😁
Ni verifaidi yuza?Na kitiki chake cha Blue, hawezi hata jibishana
Nji ina vijana wa hovyo sana
Mfano hai wa vijana wa ovyo
Eti huyu mchungaji amechukuliwa msukule huko marekani
Ndiyo. Wanatumaga Vitambulisho orijino huko ndio upate tiki ya blue 😂Ni verifaidi yuza?
Ina maana JF wana mafaili yake kamili kama watu wa NIDA? 😁
Kweli siku naona hiyo id nilishtuka, nikasema kibungo kaanza lini matipo 😂Nimemuona mliyetaka kuzusha ni mie 🤣🤣
Lenie
Basi asbh nikashtuka. Huu uzi nimekomenti saa ngapi? Kumbe sio mie 🤣🤣
View attachment 2599086
Iko namna!Kweli siku naona hiyo id nilishtuka, nikasema kibungo kaanza lini matipo 😂
Mmoja abadili avatar, msituvuruge
Hiyo avatar nimeitoa mbaliKweli siku naona hiyo id nilishtuka, nikasema kibungo kaanza lini matipo 😂
Mmoja abadili avatar, msituvuruge
Uko msikivu sanaHiyo avatar nimeitoa mbali
Na nimepewa na mtu kisa hiko kidimpo cha mdoli
Endeleeni kuvurugika, Me siitoi sahii 😂😂🤸♂️
nkakisali2 😂😂😂 ndugu emu njoo kidogo.Kweli siku naona hiyo id nilishtuka, nikasema kibungo kaanza lini matipo 😂
Mmoja abadili avatar, msituvuruge
Nimejifunza utukutu wa K’ Njaro 🤣Uko msikivu sana
Tukipambana utaitoa tu! 😁
Una Avatars nyingi sana nzuri zaidi ya hii. Hii utashutumiwa kuwa ni fyekero aka matipo....Hebu iondoe bana 🙏🏿😁Nimejifunza utukutu wa K’ Njaro 🤣
Acha kabisa. Na ID ilikuwa active wakati nimekula ban 🤣🤣Iko namna!
Halafu wote wanatokea Chuga?
Mhhh!
Kwema bageshi?
Na ije kufanya tukio mfano. Haki mtaniua kimaandishi 😆Una Avatars nyingi sana nzuri zaidi ya hii. Hii utashutumiwa kuwa ni fyekero aka matipo....Hebu iondoe bana 🙏🏿😁
Na unajua wananzengo wakianzaga hawana dogo. Shida yote hiyo ya nini?Na ije kufanya tukio mfano. Haki mtaniua kimaandishi 😆