Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

20230424_154015.jpg
 
Mwamitandao maarufu nchini Kenya , Manzi Wa Kibera akiwa na mpenzi wake kikongwe wa miaka 66, kikongwe huyo amesema haoni shida kuwa kwenye mahusiano na mtoto mdogo kama huyo baada ya mke wake kufariki, anaamini amepata faraja na liwazo katika maisha yake yaliyobakia.
FB_IMG_1682391633869.jpg
 
Ila nyie huyu dogo ananifurahisha nikimuangalia lzm nichekeebu fikiria huo mtonge wa ubwabwa anaomlisha huyu mtoto wawatualafu cheki hilo pande la tikitiki
kilichonivunja mbavu anavyomuangalia kwa huruma huyo mtoto akimalizia ubwabwa

dogo unajua kwenda na beat

1
FB_IMG_1682393784196.jpg
 
Back
Top Bottom