Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,379
Mama Kijacho unakoelekea siyo kwenyewe sasa 😁😁😁
Mama Kijacho unakoelekea siyo kwenyewe sasa 😁😁😁
Una ziblock tu mkuu maisha ni rahisi sana.Kuna wakati tulikuwa tunaenda vizuri kwenye huu uzi ,lakini siku mbili hizi kuna Id sijui zilizotokea ni taabu tupu yaani!
We motoni directly.
Majaribu mengine ni too much. Imagine unaletewa jaribu kama hili. Utachomokaje? 😳😳😳
Ndo maana hata yeye anazitafuta kwa kukoroma mimbarini na mipasho yake (siyo Injili) ili watu watoe sadaka?
Hata wakisema tuchangie kuni wameishiwa mi nitapeleka lori tani tano za kuni aisee 😁😁😁We motoni directly.
Naona mwamba kama anashusha mzigo 😁😁😁
Hata wakisema tuchangie kuni wameishiwa mi nitapeleka lori tani tano za kuni aisee![]()


kama namuona “ mideko” akideka motoni mi nitakua pembeni nikipepea moto usizimeKuna wakati tulikuwa tunaenda vizuri kwenye huu uzi ,lakini siku mbili hizi kuna Id sijui zilizotokea ni taabu tupu yaani!
1. Usijibizane nazoUna ziblock tu mkuu maisha ni rahisi sana.


