Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Kwakweli aje aseme neno na yeye kaitoa wapi hIyo avatarnkakisali2 😂😂😂 ndugu emu njoo kidogo.
Na anaandika habari za R City. Nyieeee 🤣🤣
Basi Beshtie. Alinambia kuna jambo analifatilia, akikamilisha atanambia. Nikambana aniambie, akanikazia hiyo Siku. Nikamuacha baada ya siku mbili nikamrudia, si ndo kuniambia na yeye mambo za hii ID 😂😂😂
Hao wamama waache umbea😀
😂😂😂 kuna moja me mwenyewe natamani niipate, ila sijui naipatia wapi.Zamani nilikuwa na avatars zako zote. Sijui lile faili lilipotelea wapi. Ningekulazimisha uchague moja nzuri uachane na hii matipo 😁
Nikichimbua makabrasha yangu hilo faili naweza kulipata ila kwanza ukubali kuiondoa hii matipo 😁😂😂😂 kuna moja me mwenyewe natamani niipate, ila sijui naipatia wapi.
Zamanj Beberu Mwitu alikuwa ameitunza, na yeye sijui yuko wapi siku hizi
Tulieni emu, msitusumbue na sie 🤣🤣Kwakweli aje aseme neno na yeye kaitoa wapi hIyo avatar
Halafu wadau tutapiga kura kama mmoja wenu abadili au ikishindikana basi wote muitoe mtafute avatar nyingine, msituchoshe sie 😂
Siee wazee wa 2min hii tutaendelea isikiaga tuu