Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,319
- 5,074
Hao sijawah kutana nao. Yaan watu wanabuni njia mpya kila leo za kupiga hela.Na wale was michango wa ujenzi wa misikiti wanatembea na makaratasi![]()
basi jamani inatosha sasa.Sana kila njia wanabuniHao sijawah kutana nao. Yaan watu wanabuni njia mpya kila leo za kupiga hela.
Sana kila njia wanabuniHao sijawah kutana nao. Yaan watu wanabuni njia mpya kila leo za kupiga hela.
Sana kila njia wanabuniHao sijawah kutana nao. Yaan watu wanabuni njia mpya kila leo za kupiga hela.
Alikuwa anakutaka mwenyeweKuna kadada kalinikuta lumumba kanadai nikaelekeze magari ya kwenda mbweni halafu kakasema kamebaki na 600 tu kwahiyo nikaongezee kidogo ,
Moyo wa kumuongezea nilikuwa nao tatizo maswali hakutaka kuyajibu maana alidai hapo kachoka na hajisikii kwenda kokote,
Mwishoni namnunulia hata maji Kwanza hataki badae kakapanic eti kama siwez kusaidia nisimpotezee mda .




