Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kuna kadada kalinikuta lumumba kanadai nikaelekeze magari ya kwenda mbweni halafu kakasema kamebaki na 600 tu kwahiyo nikaongezee kidogo ,
Moyo wa kumuongezea nilikuwa nao tatizo maswali hakutaka kuyajibu maana alidai hapo kachoka na hajisikii kwenda kokote,
Mwishoni namnunulia hata maji Kwanza hataki badae kakapanic eti kama siwez kusaidia nisimpotezee mda .


Hao huwa siwapi hata 50, ni matapeli. Kuna baba hivi mara kibao nakutana nae anaomba nauli hadi anasahau watu anakuomba kwa mara ya pili, ya tatu na sababu ni zile zile hadi tushamkariri. Siku hizi nikimuona namtoa baru.
 
Kuna kadada kalinikuta lumumba kanadai nikaelekeze magari ya kwenda mbweni halafu kakasema kamebaki na 600 tu kwahiyo nikaongezee kidogo ,
Moyo wa kumuongezea nilikuwa nao tatizo maswali hakutaka kuyajibu maana alidai hapo kachoka na hajisikii kwenda kokote,
Mwishoni namnunulia hata maji Kwanza hataki badae kakapanic eti kama siwez kusaidia nisimpotezee mda .
Yaan ana shida afu anakua mkali? Nawapenda sana watu wa hivyo
 
meme683.jpg
 
Back
Top Bottom