Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hao huwa siwapi hata 50, ni matapeli. Kuna baba hivi mara kibao nakutana nae anaomba nauli hadi anasahau watu anakuomba kwa mara ya pili, ya tatu na sababu ni zile zile hadi tushamkariri. Siku hizi nikimuona namtoa baru.
Ukimpa anavuka ng'ambo ya barabara anaenda kuomba tena

Nataka siku nikutane na anaeomba nauli nimwambie na mie naelekea huko Tegeta twende nakulipia Maana wanataja mbali hili uwaonee huruma
 
Ukimpa anavuka ng'ambo ya barabara anaenda kuomba tena

Nataka siku nikutane na anaeomba nauli nimwambie na mie naelekea huko Tegeta twende nakulipia Maana wanataja mbali hili uwaonee huruma
Wamezidi,wanakera sana. Afu kuna wale wanatembea na mikaratasi sijui imesainiwa na nani huko wanaomba mchango wanaumwa hawa nao ni wale wale huwa nawatoa nduki.
 
Ivi hichi chama kipo bado nataka nijiunge nipate kadi yangu asee..
 

Attachments

  • Screenshot_20221123-103844_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20221123-103844_Samsung Internet.jpg
    75.1 KB · Views: 15
Back
Top Bottom