Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,858
- 136,485
UsiniambieHiyo moment ukishika hivyo ni kama umekamata akili yangu yote![]()

UsiniambieHiyo moment ukishika hivyo ni kama umekamata akili yangu yote![]()

Ukimpa anavuka ng'ambo ya barabara anaenda kuomba tenaHao huwa siwapi hata 50, ni matapeli. Kuna baba hivi mara kibao nakutana nae anaomba nauli hadi anasahau watu anakuomba kwa mara ya pili, ya tatu na sababu ni zile zile hadi tushamkariri. Siku hizi nikimuona namtoa baru.

Maana wanataja mbali hili uwaonee huruma
Maisha yamebadilika sana aisee... Kuna watu wamefanya hiyo ndio ajira yaoHao huwa siwapi hata 50, ni matapeli. Kuna baba hivi mara kibao nakutana nae anaomba nauli hadi anasahau watu anakuomba kwa mara ya pili, ya tatu na sababu ni zile zile hadi tushamkariri. Siku hizi nikimuona namtoa baru.
Ukimpa anavuka ng'ambo ya barabara anaenda kuomba tena
Nataka siku nikutane na anaeomba nauli nimwambie na mie naelekea huko Tegeta twende nakulipiaMaana wanataja mbali hili uwaonee huruma
![]()

kwahiyo tukubaliane hamna kuwapa pesa!! Hata sisi tuna shida zetu kibao zinahitaji pesa na hatuna!Huwa nawatimua sitoi hata mia.Maisha yamebadilika sana aisee... Kuna watu wamefanya hiyo ndio ajira yao
Wamezidi,wanakera sana. Afu kuna wale wanatembea na mikaratasi sijui imesainiwa na nani huko wanaomba mchango wanaumwa hawa nao ni wale wale huwa nawatoa nduki.Ukimpa anavuka ng'ambo ya barabara anaenda kuomba tena
Nataka siku nikutane na anaeomba nauli nimwambie na mie naelekea huko Tegeta twende nakulipiaMaana wanataja mbali hili uwaonee huruma
![]()
Kinahusu niniIvi hichi chama kipo bado nataka nijiunge nipate kadi yangu asee..
But i didThe internet never forgets!
View attachment 2424738
Sanaaa yanTuvumiliane kidogoView attachment 2424895
🤣🤣🤣 ndoige zipo tuu
Ndoige 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ndoige zipo tuu
Relax uinjoy penzi kabla halijachacha
Me haijalishi nilipigwa ndoige ya aje, siachi kupendana tena 😍😍
Unapigwa ndoige asubuhiNdoige 🤣🤣🤣
Hamna namna
Watu wanataka utu na utulivuUnapigwa ndoige asubuhi
Mchana unashushia maji
Jioni single and ready to mingle
Dadeq 🤣🤣🤣