Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,341
Oooowh'yiiiieeaaah! KhaamooooN!
Na wale was michango wa ujenzi wa misikiti wanatembea na makaratasiWamezidi,wanakera sana. Afu kuna wale wanatembea na mikaratasi sijui imesainiwa na nani huko wanaomba mchango wanaumwa hawa nao ni wale wale huwa nawatoa nduki.

Tusiwape kama njaa mnunulie andazi si kumpa pesakwahiyo tukubaliane hamna kuwapa pesa!! Hata sisi tuna shida zetu kibao zinahitaji pesa na hatuna!