Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Eti Tetenasi 








New member una matusi 🤣🙃🤭
Twiga kaenda wapi



Kwahiyo watamnyang’anya Majaliwa hela?Tunaanza upyaaaaaaaView attachment 2425072






Kuna huyo mmoja yuko pale ngazi za mbezi, bi mkubwa anamfaham muda sana ye ni michango tu ya msikiti na sadaka miaka nenda rudiNa wale was michango wa ujenzi wa misikiti wanatembea na makaratasi![]()

Watu wamemuandama Majaliwa sio poa

. Hii inaleta picha halisi ya roho za watanzania wengi!