Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20221123-044116.jpg
 
Tena!

Tumemaliza majadiliano na Ujerumani, wameipatia Tanzania Msaada wa TZS 209,746,204,779.00 kwa ajili ya kusaidia masuala ya sekta ya Afya, Maji, Uwezeshaji wa wanawake,Ulinzi wa bioanuwai,kuzuia rushwa, mfumo wa Kidijitali,kuunganisha kaya na maji ya kunywa na usafi wa Mazingira.
20221123_074836.jpg
 
Tena!

Tumemaliza majadiliano na Ujerumani, wameipatia Tanzania Msaada wa TZS 209,746,204,779.00 kwa ajili ya kusaidia masuala ya sekta ya Afya, Maji, Uwezeshaji wa wanawake,Ulinzi wa bioanuwai,kuzuia rushwa, mfumo wa Kidijitali,kuunganisha kaya na maji ya kunywa na usafi wa Mazingira.View attachment 2424678
Kama taifa tushindwe tu kutajirika aisee

Si angalau wazifanyie mambo ya maana basi yenye tija kwa wote na yanayokuza uchumi? Wanazifanyia nini?
 
Back
Top Bottom