Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
Pole!
Kabisa mkuu, sio ale halafu aanze kusema anavuja[emoji16][emoji16]Anataka ale kwanza kabla hajala? [emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mjinga weeeeeh[emoji23]Kabisa mkuu, sio ale halafu aanze kusema anavuja[emoji16][emoji16]
Unaweka kijiko eti hayamwagikiMaziwa ni tatizo kwa kweli [emoji16][emoji16]
View attachment 2284389
Sasa kama mkuu wa mkoa anatapeliwa kiwanja na unakuta kwenye mkoa huohuo anaoongoza dah[emoji16]Ila kuna watu hawako sawa. Imagine unamtapeli RC [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2284336
Kama unavuja nabeba vyakula vyangu [emoji16]Mjinga weeeeeh[emoji23]
Yaani tukio moja lakini vituko vipo vingi ndani yakeUpdate: Pichani wanandoa hao ambao mume amepitwa miaka 37 na mke wake huyo wametangaza kutaka kupata mtoto ambapo watatumia shilingi milioni 333.7 na tayari wamempata mwanamke wa kumuajiri awabebee mimba
Mke huyo anaitwa Cheryl ana miaka si chini ya 61 wakati mume wake huyo anaitwa Quran McCain(24) ambapo kwasasa wanaishi Rome, Italia baada ya kufunga ndoa mwaka 2021
Cheryl tayari alishazaa watoto 7 na ana wajukuu 17 katika mahusiano yake ya mwanzo, lakini Quran yeye bado hana mtoto kwahiyo wameamua ili kulinogesha zaidi penzi na ndoa yao basi wapate mtoto ambapo mbegu tayari wameshapata mwanamke wa kumuajiri awabebee hiyo mimba na watatumia jumla ya gharama £120,000 ambazo si chini ya milioni 333.7 za Kitanzania
Wamesema wanapendana sana kila mmoja anamfurahia mwenzie ambapo penzi lao lilianza kipindi cha nyuma baada ya mwanamama huyo kuachia video mtandaoni akicheza muziki kisha watu kuanza kumchamba na kukosa furaha ambapo Quran alianza kumfariji na baadaye penzi kuchanua na hatimaye kufunga ndoaView attachment 2283164
Utapeli aisee ni kipaji cha aina yake [emoji16]Sasa kama mkuu wa mkoa anatapeliwa kiwanja na unakuta kwenye mkoa huohuo anaoongoza dah[emoji16]
Subiri nimuite bro shimba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hili haiwezekani huku ni kuleeee kwa wala ugali na picha ya nyamaKule kuleee Rock city[emoji23]View attachment 2284192
Unaniachaje na njaa?Kama unavuja nabeba vyakula vyangu [emoji16]
Nishamjibu huyu ngosha wa Kipare....Subiri nimuite bro shimba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hili haiwezekani huku ni kuleeee kwa wala ugali na picha ya nyama
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Wacha aliwe tuu na mamba, if roses were reversed she would not hesitate a second to let go of my hand[emoji16] wakuu option ni yenu chagueni View attachment 2284356